nimekuelewa mkuu unamaanisha ccm kwanza na nchi baadaye sawa kabisa dr na waziri mtarajiwa wa tanzania
Hizo alama Tatu, Mkweere anazo zote.Ndugu zangu wanabodi,
........Mimi sijawahi kuwa mnafiki, at least kwa alama tatu za mnafiki kama tunavyofundishwa sisi waislamu. Kwa faida ya mjadala huu, niseme alama zenyewe.
Moja ni kuwa akitoa ahadi hatekelezi.
Mbili, ni akiaminiwa anahalifu na
Tatu, akizungumza husema uongo........
Wakatabahu,
HK.