exalioth
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 2,190
- 3,685
Utapenda jinsi Chid Benz alivyokuwa akiulizwa maswali na mtangazaji pale Mlimani City, Siku ya Wapendanao wakiwa Red Carpet usiku wa mahaba ndi ndi ndi
Mtangazaji: Nakuona umevaa umependeza
CHID BENZ : Nalijua hilo
Mtangazaji: Hatujawahi kukuona na mtoto mzuri kama huyu
CHID BENZ: Huyu sio mtoto
Mtangazaji: Kuna tofauti gani kati ya Valentine zilizopita na hii hapa na hii ya leo?
CHID BENZ: Zile zimepita na hii ni ya leo.
Mtangazaji: Unatarajia kuona vitu gani kwenye event hii ya leo
CHID BENZ: Ngoja tuingie ndo tutaona
Mtangazaji: Chidy kwanini unakonda
CHID BENZ: Kwa sababu sinenepi
Jamiiforums
Geita vijijini
View attachment 2122017
Mtangazaji: Nakuona umevaa umependeza
CHID BENZ : Nalijua hilo
Mtangazaji: Hatujawahi kukuona na mtoto mzuri kama huyu
CHID BENZ: Huyu sio mtoto
Mtangazaji: Kuna tofauti gani kati ya Valentine zilizopita na hii hapa na hii ya leo?
CHID BENZ: Zile zimepita na hii ni ya leo.
Mtangazaji: Unatarajia kuona vitu gani kwenye event hii ya leo
CHID BENZ: Ngoja tuingie ndo tutaona
Mtangazaji: Chidy kwanini unakonda
CHID BENZ: Kwa sababu sinenepi
Jamiiforums
Geita vijijini
View attachment 2122017