Mia ya Nape na Ridhiwani ni kututoa kwenye matatizo yaliyosababishwa na utawala mbovu wa baba yake maisha bora kwa kila mtanzania imekuwa ni ndotoUnaelewa maana ya tuhuma au huelewi?! Mie nimesema amedanganya au nimesema anatuhumiwa kudanganya?! By the way, kwenye maelezo yake mwenye si amesema amesoma chuo kikuu miaka mitatu!!! We unafikiri maana yake hapo ni nini kama sio kuwadanganya waiofahamu? We unafikiri mtu aliyeishia elimu ya chini akaja kumsikia Mnyika anasema amesoma chuo kikuu miaka 3, unatarajia ataelewa nini?
ameingiza nchi kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe
Ametumia pato la taifa kwenda kubembea jamaica
ameruhusu rafiki zake waarabu na Katibu wake mkuu kuvuna wanyama wetu kwa aslimia 60
Ameefirisi misitu kwa silimia 80 mpaka misitu kama sao hill imebaki historia
Anavuna madini ameruhusu mpaka uranium ivunwe wakati nchi haina uwezo kujikinga na madhara yake
asilimia 94.5 wanafunzi wa sekondari wamefeli
ameshindwa kutatua janga la njaa wananchi wanakufa vijijini
ameruhusu mauaji ya wana dini wote waislamu kwa wakristo
sasa elimu ya Mnyika itajibu haya au munatutoa kwenye mjadala wa kitaifa na siku zote munafanya hivyo tunawajua nyie