Majibu haya ya Lissu akihojiwa DW, ni ushahidi mwingine wa uwezo wa Lissu kujibu hoja na kuwa mgombea ataefaa kumkabili Magufuli kwenye kampeni

Kwa macho yangu niliona kwenye chaguzi za marudio, mawakala wa upinzani wakipigwa kama wezi na jeshi la polisi ili kusaini fomu fake za matokeo. Kinachoendelea kwenye vituo vya kura kiko wazi, na sisi wananchi tumekuwa tukiona. Uzuri ukweli hauhitaji nguvu kubwa kuutetea, maana ukweli huwa unajibeba wenyewe. Kinachoendelea kwenye box la kura toka awamu hii ya tano imeingia, sio uchaguzi bali ni maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.
Bado ukweli utabaki kuwa hata kukiwa na hiyo inayodaiwa ni Tume Huru, watumishi wake ni binadamu wenye mapungufu yao. Ila kama mgombea ana sifa za kukidhi matarajio ya wapiga kura atapata kura zao na kuchaguliwa.
 
Aje tu kumkabili lakini ushindi asahau.

Hoja has nothing to do with the votes na ndo siasa za nchi hii.

Hawezi hata kupata idadi ya kura alizopata Lowasa 2015!
 
Lissu, a human rights and environmental lawyer, is a vocal critic of government corruption and the current president, John Magufuli. He has been arrested several times in the past and still has charges of uttering seditious words against the Tanzanian state authority outstanding against him.

DW: How can you run for presidency while you're still abroad? Are you planning to go back to Tanzania soon?

Tundu Lissu: The simple and quick answer to your question is: yes, I'm returning home and I'm returning home on July 28 this year, less than three weeks from now.

There are quite some sedition cases waiting for you back in Tanzania. Do you think those cases might hinder your presidential ambitions?

It is not sedition to make statements which show that the government is wrong in its actions, in its policies, in its practices. It is not sedition to want to remove the government from power through constitutional means. It is not sedition to criticize the government. It is not sedition to use democratic means to seek to get rid of President John Magufuli.

I have made statements in public which showed that the government was in the wrong. That is not sedition. Even under this terrible law. So I'm not in the least perturbed by the existence of those cases.

When we look at most of the discussions going on in Tanzania, we see that there are so many people who are saying that there is quite some developments going on in the country in terms of infrastructure. And the World Bank recently categorized Tanzania as a middle lower income country. When you look at these achievements of the current president, don't you think that he stands a very good chance to get reelected?

Mwalimu [Julius] Nyerere [who was Tanzania's president for 24 years] built infrastructure projects, the 2,400 km long TAZARA railway from Dar es Salsam to Kapiri Mposhi in Zambia. He built roads, paved roads.

President [Ali Hassan] Mwinyi built roads, [Benjamin] Mkapa built roads, Jakaya Kikwete built roads.

That did not prevent us from demanding a better, more democratic and more just Tanzania.

So yes, Magufuli has built all these things that he's talking about. That does not justify misrule. That does not justify the exercise of these draconian and very authoritarian policies that he has imposed on the country. That does not justify or legitimize the destruction of our democratic processes.

This interview was conducted by Harrison Mwilima. It has been edited lightly for clarity.
Porojo ya miaka mitano hanakitu
 
Bado ukweli utabaki kuwa hata kukiwa na hiyo inayodaiwa ni Tume Huru, watumishi wake ni binadamu wenye mapungufu yao. Ila kama mgombea ana sifa za kukidhi matarajio ya wapiga kura atapata kura zao na kuchaguliwa.

Kuchaguliwa sio tatizo, bali tatizo ni kutangazwa na tume hii. Na hapa suala sio mapungufu ya kibanadamu, bali ni wasimamizi wa tume kupokea maelekezo ya mtu fulani mwenye madaraka kutangaza mtu amtakaye. Hili liko wazi, na tumeona kwenye chaguzi zote toka awamu hii imeingia madarakani.
 
Aje tu kumkabili lakini ushindi asahau.

Hoja has nothing to do with the votes na ndo siasa za nchi hii.

Hawezi hata kupata idadi ya kura alizopata Lowasa 2015!

Hakuna mwenye tatizo na ushindi wa halali hata akipata kura 4, acha hizo za Lowassa. Wananchi wa sasa wameamka, hoja huchangia maamuzi ya wapiga kura wengi.
 
Huo ndiyo ukweli tu.

Kwenye kampeni wapiga kura hupenda kusikiliza hoja za maendeleo yao na siyo namna mgombea alivyo au atakavyopatikana kupigiwa kura kuwa mwakilishi wao.

Kwa kauli hii unaonyesha fika kuwa unajua uchaguzi wetu una walakini, lakini unataka kujifanya walakini kwenye uchaguzi sio tatizo, ili mradi aliyetangazwa kwa namna yoyote ile ataleta maendeleo. Hivi ni chama gani kitachaguliwa kisilete maendeleo yoyote? Kwa taarifa yako, hata wanaopindua nchi huwa wanafanya mambo ya maendeleo, maana kodi hukusanywa.

Kama unaamini shida ni maendeleo na sio kupata ridhaa ya watu kuwaongoza, kwanini tusiongozwe na jeshi kisha tufute vyama vyote, hayo maendeleo yaletwe kwa utawala wa kijeshi? Acha utetezi wa chaguzi za kihayawani.
 
Lissu, a human rights and environmental lawyer, is a vocal critic of government corruption and the current president, John Magufuli. He has been arrested several times in the past and still has charges of uttering seditious words against the Tanzanian state authority outstanding against him.

DW: How can you run for presidency while you're still abroad? Are you planning to go back to Tanzania soon?

Tundu Lissu: The simple and quick answer to your question is: yes, I'm returning home and I'm returning home on July 28 this year, less than three weeks from now.

There are quite some sedition cases waiting for you back in Tanzania. Do you think those cases might hinder your presidential ambitions?

It is not sedition to make statements which show that the government is wrong in its actions, in its policies, in its practices. It is not sedition to want to remove the government from power through constitutional means. It is not sedition to criticize the government. It is not sedition to use democratic means to seek to get rid of President John Magufuli.

I have made statements in public which showed that the government was in the wrong. That is not sedition. Even under this terrible law. So I'm not in the least perturbed by the existence of those cases.

When we look at most of the discussions going on in Tanzania, we see that there are so many people who are saying that there is quite some developments going on in the country in terms of infrastructure. And the World Bank recently categorized Tanzania as a middle lower income country. When you look at these achievements of the current president, don't you think that he stands a very good chance to get reelected?

Mwalimu [Julius] Nyerere [who was Tanzania's president for 24 years] built infrastructure projects, the 2,400 km long TAZARA railway from Dar es Salsam to Kapiri Mposhi in Zambia. He built roads, paved roads.

President [Ali Hassan] Mwinyi built roads, [Benjamin] Mkapa built roads, Jakaya Kikwete built roads.

That did not prevent us from demanding a better, more democratic and more just Tanzania.

So yes, Magufuli has built all these things that he's talking about. That does not justify misrule. That does not justify the exercise of these draconian and very authoritarian policies that he has imposed on the country. That does not justify or legitimize the destruction of our democratic processes.

This interview was conducted by Harrison Mwilima. It has been edited lightly for clarity.
Tumuunge Lissu mkono tuondokane na haka ka dikteta.
 
Hakuna mwenye tatizo na ushindi wa halali hata akipata kura 4, acha hizo za Lowassa. Wananchi wa sasa wameamka, hoja huchangia maamuzi ya wapiga kura wengi.
Wananchi wa sasa ipi unayoizungumzia? Mbona hatujawaona kwenye by elections au hata uchaguzi wa serikali za mitaa?

Bahati mbaya ushindi uwe wa halali au haramu hamna cha kufanya zaidi ya kuja kulialia Jf!

Zuio la mikutano ya kisiasa tu iliyopo kisheria hamjafanya chochote mpaka leo,huo ushindi haramu mtafanya nini unafikiri.
 
Kama hayo unayosema ni kweli na yakatokea kweli kipindi hiki cha uchaguzi ;Kipindi ambacho kila mtu anaomba ridhaa ya kuongoza nchi kwa wananchi basi Chadema kitakua hakina sababu ya kuendelea kuwa chama cha siasa kinachosubiri kuingia Ikulu na kuongoza nchi. Chama gani kinashindwa kuwalinda viongozi wake kwa UDI na uvimba.
Tatizo kubwa ni kuongozwa na Mlevi, mzinzi, mwizi, mbagizi,mkabila, msanii, mzushi, dikteta,mbinafsi ,mpenda misifa, yaani DJ. Mbowe.
Kubali usikubali tangu dunia imeumbwa kiongozi na mtawala anakua na nguvu za kiroho za kumlinda au kumpigania. Usione wanasiasa karibu wote ni watu wanaopenda sana ibada.Kama sio imani kwa Mungu/Allah anayetajwa kwenye Biblia / Quran basi ni mizimu na matambiko ya kiafrika au wengine wanajiunga na imani za Lusifa /Kishetani. Na hao freemason wengi bado ni watu waliobobea kwenye elimu za dini na elimu dunia .Vinginevyo mwanasiasa huyo atakua ni mwanaharakati tuu wa kupiga kelele na hatafika popote zaidi ya kujikuta akiishia kufungwa na kukata tamaa.

Mbowe ni kiongozi wa chama kikubwa anayekosa sifa za kiroho kuongoza chama. Huyo mtu ni kama Sanamu tuu ya kiongozi wa kisiasa. Mnapoteza muda na msipokubali ninayowaambia mtaishia jela wote na hata kujitia kwenye matatizo makubwa zaidi.
Dunia IPO kwenye wakati wa mapito kumsubiri Masihi Issah bin Marian au Yesu. Watawala wanaushindani mkubwa kiroho. Ushindani kati ya Lucifer / Shetan na Mungu anayemtuma Yesu kutawala Ulimwengu. Sasa watakaoshinda hawawezi kuwa Watu wasiojua masuala ya kiroho na imani (zozote hata kama ni zile za akina Chifu Ngwana Marundi na Firauni. Imani ni imani kwenye kutawala dunia.
Mbowe ni mweupe kutokana na tabia zake za kihuni na kitoto. Mbowe /hajapevuka/ Hajakua bado. Bado anakesha baa na wanawake huku akiwa amelewa chakari. Kiongozi gani huyo mpumbavu kabisa. Anaharibu jitihada zote za kuwaondosha CCM madarakani.

Anayebisha ajiulize ni kwa nini viongozi wote duniani wsnakua karibu na viongozi wa kiroho ,!! Angalia enzi za Dr.Slaa jinsi watu walivyokua tayari kupigwa mabomu na risasi bila kurudi nyuma kutokana na ushawishi wa Dr. Slaa. Angalia Poul Makonda anavyokesha kwenye nyumba za ibada na hata kwingine japo ana mahovyo mengine lakini anakua kuwa kuna mkuu wa anga na mkuu wa dunia na mkuu wa mbingu na nchi anayeweza kugeuza mioyo ya watu dk moja wakamtoa mtu kwenye ufalme.

Tundu Lisu ajikite kwenye imani zaidi kama yupo humu ajitokeze hapa ili tumsaidie kimawazo mana nchi hii tunahitaji Demokrasia lakini sio kumtegemea Mbowe. Mtapoteza muda. Mbowe hakubaliki popote zaidi ya kutumia ukabila tu kupata umaarufu kidogo . Ananikera kuliko hata Le mutuz. Hivi nyomi ya mkutano wa Mwakajoka kule Tunduma na Morali waliyokuwa nayo wananchi kuna wapuuzi wanaoweza kujitokeza na vibango vya kumpinga Mbunge kama walivyokua wanamzihaki Mbowe kule jimboni kwake Hai.
Hivi Chadema mmelogwa na nani hamuoni kuwa Mbowe sio kabisa na anakihujumu chama kutokana na kukosa kibali katika ulimwengo wa roho. Chifu gani asiyekua na nguvu za kiroho tangu enzi za mababu??

Eti kuna watu wanafanya njama dhidi ya Tundu Lisu mtu pekee asiye na hila za madaraka zaidi ya kusimamia haki na sheria halafu mnakuja kulalamika huku kwenye Mitandao . Chama kikuu cha upinzani.!!!! Kweli kabisa mnaona mko sawa sawa. Binadamu tu wa kawaida na mkereketwa tu wa chama na kujikomba ili aishi mjini anaweka mikakati ya kuua au kujeruhi au kumwambukiza binadam mwenzake tegemeo la jamii halafu mnamlalamikia kwenye simu ili afanyweje na Application ya jamii Forum ?? Au mnasubiri apigwe tena risasi halafu Mlalamike mitandaoni mkiongozwa na yule Mlevi ?
Mkichoka kabisa na hujuma ni bora muende kutoa taarifa Polisi kama hamuwezi kumlinda Lisu , Mgombea urais wenu mnayetaka awe Rais wa nchi. Vinginevyo hata Mbowe hataki Lisu arudi mana pia ni tishio kwake bila kupepesa macho.
We 1000 digits saa zingine unakuwa mkorofi. Khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
No matter how good Lissu (au mgombea yeyote) ana hoja kwenye jukwa, ni ngumu kushinda uchaguzi huu. Kwa Tume ipi?! Lowassa alivuta atleast kura million sita ila hazikutosha.
 
No matter how good Lissu (au mgombea yeyote) ana hoja kwenye jukwa, ni ngumu kushinda uchaguzi huu. Kwa Tume ipi?! Lowassa alivuta atleast kura million sita ila hazikutosha.
CCM ina wanachama wa kujiandikisha millioni 15 na ushee, hata hao ambao sio wanachama wanaona nini kinatokea nchini, kama kipimo chenu ndio huyo Mzee aliyekuwa mwizi.
 
kama kipimo chenu ndio huyo Mzee aliyekuwa mwizi.
Kipimo ni idadi ya kura na sio individual. Anyway, wenye chama chao walishamvuta na yupo anakula mema ya Nchi. Wewe endelea kusema eti “alikuwa mwizi”.
 
Wananchi wa sasa ipi unayoizungumzia? Mbona hatujawaona kwenye by elections au hata uchaguzi wa serikali za mitaa?

Bahati mbaya ushindi uwe wa halali au haramu hamna cha kufanya zaidi ya kuja kulialia Jf!

Zuio la mikutano ya kisiasa tu iliyopo kisheria hamjafanya chochote mpaka leo,huo ushindi haramu mtafanya nini unafikiri.

Kwani unadhani hata Elibashir alitolewa madaraka mwaka mmoja, au miwili ya kuanza kunajisi demokrasia ndani ya nchi yake? Na yeye pia alikuwa na watu wanaomsifia kama ww, tena wakiwa na mapambio matamu kuliko ya kwako. Leo hii yuko wapi? Haiwi ndani ya siku moja boss.

Hao akina Sumaye na Lowassa wakati wakiwa madarakani, walikuwa wanaongea kwa jeuri ile mbaya, walipokuja upinzani wakawa wanatishiwa mpaka na mgambo wa kijiji. Membe wakati wa JK alikuwa anaongea kwa nyodo, saa hii naye meza imegeuka, anafanyia press kwenye TV za uchochoroni na kilio kingi. Huyu unayesema anaweza kufanya lolote na hakuna wa kufanya lolote, naye itafika muda atakuwa kama house girl toka Iringa.
 
Back
Top Bottom