Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,233
EL kuwa mwizi sio mjadala inajulikana kama hupendi hiyo ni premise yako. Kwa sababu alikuwa Waziri mkuu ataendelea kulipwa kwa mujibu wa sheria hadi afe ndio utaratibu huo.Kipimo ni idadi ya kura na sio individual. Anyway, wenye chama chao walishamvuta na yupo anakula mema ya Nchi. Wewe endelea kusema eti “alikuwa mwizi”.