ketete
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 792
- 793
Nchi yetu ni kubwa sanaIc labda alikuwa anatania! Hao wakimbizi wa nchi zote mbili tutawaweka wapi?
Nisingekuwa Makini hiyo tofauti nisingeiona.., Hao NBS kuripoti tofauti ndo nilichoongelea au ww umeelewa nn hapo?Usikurupuke....
Hao ni NBS ndo waliripoti differently.
Kuwa makini.
Magu patanisha hiyo kitu! Maana wateja wetu hao
AUkiangalia kwenye hizo Nukuu mbili kwa kuzingatia Muda, inaonesha alienza kuongea ni Kagame then ndo akaja Musseven ingawaje bado haileti Mtiririko Mzuri wa Hoja inayojadiliwa.., Je, kuna tofauti ya SAA moja kati ya Rwanda na Uganda?
Hicho kitu nimekiona. Na kikawaita M7 ndiyo inatakiwa intangulie kisha kagame ajibu. It seems fake news.Ukiangalia kwenye hizo Nukuu mbili kwa kuzingatia Muda, inaonesha alienza kuongea ni Kagame then ndo akaja Musseven ingawaje bado haileti Mtiririko Mzuri wa Hoja inayojadiliwa.., Je, kuna tofauti ya SAA moja kati ya Rwanda na Uganda?
OkUsikurupuke....
Hao ni NBS ndo waliripoti differently.
Kuwa makini.
Ndiyo, Rwanda inatumia masaa ya Afrika ya Kati wakati Uganda inatumia masaa ya Afrika MasharikiA
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa M7 na kagame haiwezi kuwa tofauti ya dakika nyingi hiviHapana aliyeanza ni mseveni muda mchache akafuata mwenzie ni ndani ya muda ule ule isipokuwa time difference
Time difference how?Hapana aliyeanza ni mseveni muda mchache akafuata mwenzie ni ndani ya muda ule ule isipokuwa time difference
Madikteta yakiuana ni nafuu kwa wananchiView attachment 1042422MIPAKA YA NCHI ZAO WAMEFUNGA TAYARI.View attachment 1042424