FighterOne
JF-Expert Member
- Oct 2, 2016
- 313
- 277
Msaidie mtaji aanzishe hiyo biashara na wala usiwe na mawazo kwamba ni yenu wote, ametafuta namna ya kukuomba mtaji ili ainue familia yake ameshindwa , msaidie tu km hela unayo.
Kwani Muda wa kuanza kuomba hela ni miezi mingapi?yani hilo swala la kuomba hela kiasi hicho na malalamiko juu ndani ya mwezi ya mwezi mmoja tu ilitakiwa iwe tiketi ya kumbwaga, doh wanawake wengine wana bahati jamani