Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,902
- 95,406
Baada ya kupata mtoto hamu yote ya kufanya mapenzi ilikata.Muda mwingi nilikuwa nakaa tu na mtoto.Aisee. Ulikuwa unapunguzia wapi hasira na uzito mkuu. Share mbinu zako tafadhali.
Baada ya kupata mtoto hamu yote ya kufanya mapenzi ilikata.Muda mwingi nilikuwa nakaa tu na mtoto.Aisee. Ulikuwa unapunguzia wapi hasira na uzito mkuu. Share mbinu zako tafadhali.
Je na Mke wako naye ilimuisha au ndio ulikuwa unamegewa kiselaBaada ya kupata mtoto hamu yote ya kufanya mapenzi ilikata.Muda mwingi nilikuwa nakaa tu na mtoto.
Duh! Mkuu wewe ni wa pekee aisee. Hamu ya ile kitu kukata sio kitu nyepesi sana.Baada ya kupata mtoto hamu yote ya kufanya mapenzi ilikata.Muda mwingi nilikuwa nakaa tu na mtoto.
Mtoto aliikata.Nilikuwa na mapenzi makubwa sana na ya ajabu juu yake.Duh! Mkuu wewe ni wa pekee aisee. Hamu ya ile kitu kukata sio kitu nyepesi sana.
Kuhusu mke wangu sijui,labda alikuwa anatoka nje lakini sikuwahi kuona dalili yoyote ile kuwa ananisaliti.Je na Mke wako naye ilimuisha au ndio ulikuwa unamegewa kisela
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Dah ushapigiwa mkuu,Kuhusu mke wangu sijui,labda alikuwa anatoka nje lakini sikuwahi kuona dalili yoyote ile kuwa ananisaliti.
Mbona inawezekana kabisa na shuhuda zipo.....Mmh wewe huyo umpumzishe miaka 2? Nakataa kwa nguvu zote
yaani wanaume mafisi sanaNdio kwanza mtu katoka kujifungua hiyo baada ya week nguvu ya kutiana na hamu inatokea wapi!
Anajiwekea mazingira mazuri ya kula tunda bibie akipona...lol😅Ndio kwanza mtu katoka kujifungua hiyo baada ya week nguvu ya kutiana na hamu inatokea wapi!
Mmmh!sound km uongo hivu!hahaaaUna haraka ya nini?!Mimi mke wangu nilimpumzisha miaka miwili bila tendo baada ya kujifungua na uke wake ulirudi fresh kabisa akawa kama ana bikira vile.
Mke yupi huyo ulomwacha 2yrs mwanangu..!?lohUna haraka ya nini?!Mimi mke wangu nilimpumzisha miaka miwili bila tendo baada ya kujifungua na uke wake ulirudi fresh kabisa akawa kama ana bikira vile.
Heeee kabila gani wewe..??chaaa😩Atumie maji ya moto yanayo chemka ana mwagia kwa ndani ...siku 2 tu mzigo unaludi mnato
Kuna tatizo kwani Mama?Mke yupi huyo ulomwacha 2yrs mwanangu..!?loh
Baada ya kupata mtoto hamu yote ya kufanya mapenzi ilikata.Muda mwingi nilikuwa nakaa tu na mtoto.Mmmh!sound km uongo hivu!hahaaa
Aah hapana si kwa huyu mpenda wenye chura😀😀 ila hata kwa wote tu hakuna anayeweza kufikisha hata mwaka bana tusidanganyane😁Mbona inawezekana kabisa na shuhuda zipo.....