WomanOfSubstance
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 5,457
- 956
Duh! Yaani mnatufanya wanawake kama ni watumwa wa ndoa! Hivi kuna kitu chochote ambacho mwanamke anapaswa kuenjoy kwenye ndoa?! Kufua hadi vyupi,kupika kutumikia penzi mara sijui gogo,mara chai,mama mkwe,ndugu, watoto! Mwanamke role yake ni ipi na mwanaume yake ipi?
Asanteeee King'asti!!
Ajabu.... watu wanapenda "maendeleo" na "mabadiliko yake" lakini inapokuja kubadilisha yale yenye kuwaondolea "mteremko" ni back-peddling ya nguvu!
Kwani kama unapenda kutumikiwa kwanini nawe usitumikie? Ukimfanyia mkeo naye atakufanyia maradufu.
Kanishangaza ati mkewe hamwekei maji hadi amgombeze.....kwani huyo ni mke au mtumwa?