Habari za mchana!
Naomba kujuzwa na wenye uelewa zaidi!
Kaka yangu ana eneo huko Pwani ambapo amechimba kisima pia kwaajili ya matumizi yake ya nyumbani hapo! Sasa kumekuwa na hali ya maji hayo yakichotwa then yakalala kwenye ndoo au chombo chochote yanatoa layer ya mafuta!
Je ni hali ya kawaida tu? Au itakuwa crude oil? Tuna shauku kubwa ya kujua, tafadhali mwenye uelewa atusaidie kutuelimisha!
Natanguliza shukrani
Naomba kujuzwa na wenye uelewa zaidi!
Kaka yangu ana eneo huko Pwani ambapo amechimba kisima pia kwaajili ya matumizi yake ya nyumbani hapo! Sasa kumekuwa na hali ya maji hayo yakichotwa then yakalala kwenye ndoo au chombo chochote yanatoa layer ya mafuta!
Je ni hali ya kawaida tu? Au itakuwa crude oil? Tuna shauku kubwa ya kujua, tafadhali mwenye uelewa atusaidie kutuelimisha!
Natanguliza shukrani