Maji ya kisima kutoa mafuta

TUTYIANNA

Member
Jan 23, 2021
7
92
Habari za mchana!

Naomba kujuzwa na wenye uelewa zaidi!

Kaka yangu ana eneo huko Pwani ambapo amechimba kisima pia kwaajili ya matumizi yake ya nyumbani hapo! Sasa kumekuwa na hali ya maji hayo yakichotwa then yakalala kwenye ndoo au chombo chochote yanatoa layer ya mafuta!

Je ni hali ya kawaida tu? Au itakuwa crude oil? Tuna shauku kubwa ya kujua, tafadhali mwenye uelewa atusaidie kutuelimisha!

Natanguliza shukrani
 
Ngoja nikae maana nimeshuhudia kwenye bonde langu pia kuna kisima kilichimbwa cha ku pump ila maji yana layer ya mafuta na pia hata kwenye udongo around, mvua ikinyesha kuna mafuta mafuta pia.
 
Inatokana na decay ya organic contents zilizopo sehemu husika! Nenda kwa watu wa maabara wakupimie ili ujue exactly ni elements gani na kama hakuna madhara kiafya.
 
Duh asanteni wakuu maana nimefatilia zaidi nimeambiwa crude oil ni nyeusi tii! Na kisima cha mita65 ni kifupi kutoaa mafuta!
 
Back
Top Bottom