Mkuu jaribu hiyo maji kutoka mmereseni hapo marangu kitu Tanza... Mbeya tumeenda sawa hapo Dew drop yapo na ubora wa kutosha.Moshi ni Kilimanjaro pure drinking water, Dar napiga Hill au Canadian Pure kwa sasa, mwanzo ilikuwa uhai na masafi. Mbeya natumiaga Dew drop...bonge la kiburudisho!