Bhbm
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 714
- 208
Jamani hii speed ya upandishaji wa bei ya maji ya uhai inatisha. Hivi mbona wanatuchukulia poa sana hawa watu sisi watz!!!! Mwaka jana mwishoni uhai lt 6 ilikuwa 1400, then mwezi baadaye ikapanda mpaka 1600. Cha ajabu week ilopita yamepanda mpaka 2200. Yaani huu uongozi wa ccm hii nchi imewashinda na natamani wote wafe ili tupate viongozi bora haijalishi wanatoka chama gani. I hate from my heart this JK's gvt.
Hivi hii nchi tunapelekwa wapi jamani? Maisha magumu hivi tutakimbilia wapi sisi?
Hivi hii nchi tunapelekwa wapi jamani? Maisha magumu hivi tutakimbilia wapi sisi?