Mlioo karubi na Mhesimiwa Rais Samia mwambieni haya:
Dar maji imeshafikika lita 20 shilingi mia tano, watumiaji umeme kujipatia mkate wao hawana kazi
Sasa mwambieni sifa za Aweso za "NANI. KAMA MAMA, na Makamba za MAJIKO YA GESI KILA KIJIJI kwetu sisi tunotoa zaidi ya 70% ya pato la seriikali ikiwemo mishahara na marupurupu yao tunateseka hatuna maji wala umeme
PS;kila dakika mamiliono ya lita za maji yanamwagika baharini na ni utashi na teknolojia ndogo kukuletea sio MRI na EEG kijijini kwa Madelu
Dar maji imeshafikika lita 20 shilingi mia tano, watumiaji umeme kujipatia mkate wao hawana kazi
Sasa mwambieni sifa za Aweso za "NANI. KAMA MAMA, na Makamba za MAJIKO YA GESI KILA KIJIJI kwetu sisi tunotoa zaidi ya 70% ya pato la seriikali ikiwemo mishahara na marupurupu yao tunateseka hatuna maji wala umeme
PS;kila dakika mamiliono ya lita za maji yanamwagika baharini na ni utashi na teknolojia ndogo kukuletea sio MRI na EEG kijijini kwa Madelu