kuwa makini...mataperi wengi mjini...usije ukauziwa sabuni ya kunawia mikono ukaja humu ndani kutulilia..habari za muda huu waungwana.
kuna jamaa yangu amekuwa akiniuliza kama kuna mtu nayemfahamu mwenye maji mekundu(mercury) yenyewe anahitaji bei poa. Sasa mwenye hiyo kitu anicheki pm.
Niunganishe na Hao masaiHii mambo inaliza watu wengi sana aiseee.
Kama unayataka nenda umasaini kule, kuna sehemu huwa wanafanya matambiko yao ya kimila, ukizungumza vizuri na wazee wa kimasai wanakupa mzigo.
Tatizo ni moa tu, maeneo hayo hutawaliwa na mashetani yaliyokunywa damu sana, ukienda kichwa kichwa unarudi si mtu, wananyofoa roho wanaweka shetani ndani ila hela unapata..
asante mkuu kwa ushauriUtatapeliwa
Achana na hayo mambo
Narudia tena utatapeliwa na kulizwa
Utapoteza muda,pesa na kila kitu