Huenda siyo laptop unayoijua wewe maana hawa jamaa huwa wana vitu vya ajabu, hujawahi soma mabango yao wakijitangaza kwamba wanatibu kwa kutumia tv? Harafu unafika unakuta hiyo tv ni beseni limewekwa maji wakati ulitegemea kukuta plasma au lcd?
Inasemekana ni yeye mwenyewe alituma watu watangaze kuwa amekufa then atokee baada ya masaa mawili. aliowatuma akawapa posho ndio wanasema hayo. sasa najiuliza hawa wabunge wa ccm wanatumia .....kufikiri au!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.