Vien
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 7,288
- 11,787
Habari wakuu,
Kumekuwa na changamoto ya maji takriban week sasa Goba mtaa wa Tegeta A njia ya kuelekea kwa Bedui, na maeneo mengine yote ya Goba maji yamekuwa hayatoki na hata mtaani wanaouza hawapatikani kwa hali hii wananchi wa huku tunateseka sana, mwenye kujua chanzo cha hii kero atufungue.
Kumekuwa na changamoto ya maji takriban week sasa Goba mtaa wa Tegeta A njia ya kuelekea kwa Bedui, na maeneo mengine yote ya Goba maji yamekuwa hayatoki na hata mtaani wanaouza hawapatikani kwa hali hii wananchi wa huku tunateseka sana, mwenye kujua chanzo cha hii kero atufungue.
Sad enough walitoa tangazo juzi kuwa maji yatakatika kwa saa 24, jumamosi hadi jumapili. Ajabu hadi leo hakuna taarifa yoyote.
Na maji yalikatwa siku nyingi kabla hata ya hilo tangazo. Niliwasiliana na Meneja huduma kwa wateja akasema atanirudia ila hakunitafuta tena.
View attachment 3339241
