kero ya maji goba

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Mgao wa maji Goba, Mtaa wa River View (Dar) haufuati ratiba, tunauziwa maji Tenki Sh elfu 40

    Maji tunauziwa elfu 40k maji hayatoki hata katika zile siku za mgao! DAWASA hamna wanachotusaidia nje na kureport mara nyingi
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Goba tunapata maji mara moja kwa mwezi

    Goba bana kero ya maji kwenye hii mitaa yetu ni kero kubwa sana jamani, maji tunapata mara moja kwa mwezi na sio ya uhakika, tumeshalalamika mno, kiangazi ndo inakua balaa kabisa wakati huu wa mvua tukahisi kutakua na unafuu lakini wapi... Tumeshalalamika mpaka kwa enzi za Naibu Waziri Mkuu...
  3. M

    JamiiForums Tanzania KERO Nini kimetokea DAWASA? Maji yamepotelea wapi? Kuna matatizo gani?

    Wakuu, salama? Kuna hali inashangaza sana. Mimi ni mkazi wa meneo ya Goba, kabla ya mwezi November mwaka jana (2025) tulikuwa tunapata maji vizuri kabisa na kwa presha kubwa lakini nakumbuka kuelekea mwishoni mwa mwaka jana around hiyo November kuna hali ya upungufu wa maji ilitokea maeneo...
  4. McLaren

    JamiiForums Tanzania Hivi ni sehemu gani hapa Dar ni ambayo ni nzuri zaidi kwa kijana kuanzia maisha? Naona kama Goba ni eneo zuri sana

    Wakuu, Kama wewe ni kijana unataka kuondoka nyumbani kwenu uanze maisha ushauri wangu uende ukaishi Goba Kwanza Goba nyumba nyingi ni mpya na ni bei ndogo. Ukiwa na 100k unapata chumba na sebule na jiko na choo tofauti na eneo kama Sinza au Mwenge ambako utapata single room Lakini vilevile...
  5. Vien

    JamiiForums Tanzania KERO Maji hayatoki zaidi ya wiki maeneo yote ya Goba

    Habari wakuu, Kumekuwa na changamoto ya maji takriban week sasa Goba mtaa wa Tegeta A njia ya kuelekea kwa Bedui, na maeneo mengine yote ya Goba maji yamekuwa hayatoki na hata mtaani wanaouza hawapatikani kwa hali hii wananchi wa huku tunateseka sana, mwenye kujua chanzo cha hii kero atufungue.
Back
Top Bottom