Majeshi ni kwa ajili ya form 4 failure tu

Majeshi ni kwa ajili ya form 4 failure tu

Wasomi wa bongo Hawa wanaoshindwa ata kuandaa CV zao.

Alafu wanatafuta kueshimiwa majanga kijiita msomi bongo ni kudanganya umma.
 
unajua hii mada sio nyepesi kama wengi tunavyoiona alafu haina muelekeo mzuri kabisa. Binafsi sijavutiwa nayo kuchangia sababu za msingi..mniwie radhi wakuu.
 
futa kauli yako.unatumia cm na kucheka cheka coz wanaume wako mipakani wanakulinda.jwtz na majesh mengine lazima yaheshimiwe.hebu assume nw ungekuwa kongo au kenya tu hapo.tuache dharau kuna vi2 ving sana vya kuongelea mbali na jeshi.

Basi kama wewe msomi sana si utafute kazi ya kisomi zaidi, halafu mimi na cheti changu cha form four failure nitakuja kukupiga tanganyika jeki na kukusweka lupango siku ukibaranganya huko kwenye kazi yako ya kisomi...

By the way, hata ukidharu na kuwachukia vipi wanajeshi/polisi/magereza , mwisho wa siku wakipita lazima mwili ukushtuke. Kama unabisha hebu baranganya kidogo uone who is the dady...

wewe sio askari hata kidogo acha fix

Kama sikosei huyu ni mwalimu wa sayansi kimu darasa la tatu.

Siku kikinuka ndio atajua vizuri elimu ya wanajeshi.

mkuu unatumia kinywaji gani??? nashukuru kwa kumpa darasa mtoa mada

Nimecheka sana,kwa taarifa yako kama huelewi....ugunduzi wa mambo mengi tu ulianzia jeshini(hapa naongelea-"technology world wide",aidha fanya utafiti utagundua kwa hapa kwetu tunawataalam waliobobea katika ngazi zote za elimu kuanzia degree ya kwanza na kuendelea waliopo katika majeshi yetu,siyo kweli kazi hizo haziwafai wasomi....kasi ya mabadiliko na kukuwa kwa teknolojia kunahitaji watu waliopevuka kielimu na majeshi yetu yanao wasomi wengi tu walio bobea katika fani mbalimbali,mawazo ya wanaowaza kama unavyowaza wewe kwamba kazi hizi hazihitaji wasomi ni mawazo hasi( its just a myth....),tatizo hatusomi vitabu na kufuatilia mambo....."The military(World wide) has played a major role in what we call modern technology,in other words there is no way the military could achieve this without professionalism....."kwa hiyo kazi hizi ni za wasomi kaka...."think twice"

Mm sipo mbali na mleta Uzi.. lengo lake ni kuwa kwa urasimu na ukiritimba uliopo katika majeshi kwa msomi mwenye elimu ya kutosha kuvumilia ni ngumu sana ndio maana tunaona wengi wanaajiriwa wakiwa ni form 4 ila wanajiendeleza wakiwa kazini akilamba digrii anajichanganya kazi zingine tunawaona wengi tu katika familia zetu zinazotuzunguka.
 
Kwa experience yangu ya kufanya kazi katika jeshi moja hapa nchi kwa miaka 10 nimegundua kuwa kazi za majeshi(jw,polisi,magereza) zinawafaa watu wenye elimu ndogo tena form 4 failure maana kuna kila aina ya ukiritimba na urasimu ambao msomi hawezi kuvumilia na kama akivumilia ataishia kujilaumu kwa uamuzi wake.

Jeshini kupanda kunategemea juhudi ya kazi zaidi kuliko vyeti.Hebu fikiria wewe polisi una PHD unaambiwa ukimbize jambazi sugu unajidai umesoma hivi unategemea yupo wa kukubembeleza na kukulea lea? Nani Akupandishe uwe IGP kwa PHD yako isiyoweza kimbiza na kukamata kibaka hata mmoja toka uipate?
 
Kwa experience yangu ya kufanya kazi katika jeshi moja hapa nchi kwa miaka 10 nimegundua kuwa kazi za majeshi(jw,polisi,magereza) zinawafaa watu wenye elimu ndogo tena form 4 failure maana kuna kila aina ya ukiritimba na urasimu ambao msomi hawezi kuvumilia na kama akivumilia ataishia kujilaumu kwa uamuzi wake.

Ukisikia akili mtopea ndiyo hii. Kwamba una experience ya miaka 10, labda hilo jeshi ni la nyumbani kwenu. Kwa hiyo madaktari walipogoma Muhimbili ni form 4 waliofundishwa na mshua wako walioenda kuthibiti hali? Au walipogoma uwanja wa ndege ni hao ndugu zako walioenda? Je, waliojenga daraja la msata lilipobomoka? Haya, umechunguza ni idadi gani ya wanajeshi, polisi, magereza, usalama wa taifa, n.k walioko ktk kila chuo cha elimu ya juu nchini? Nenda kwa huyo sangoma akakuoshe tena!
 
naomba nifahamishwe ni mambo gani yamefanywa na wasomi waliopo kwenye majeshi ya tanzania??

Hata ukielewa itakusaidia nini?Wenye sababu za kuelewa wanaelewa lakini wewe hayakuhusu....tuanzie kwako tueleze wewe ulishafanya nini hapa Duniani cha kukumbukwa siku ukiondoka hapa Duniani?
 
Hata ukielewa itakusaidia nini?Wenye sababu za kuelewa wanaelewa lakini wewe hayakuhusu....tuanzie kwako tueleze wewe ulishafanya nini hapa Duniani cha kukumbukwa siku ukiondoka hapa Duniani?

Kwavile mimi sio mtanzania hayanihusu yanawahusu watanzania na waelewa...
Nimefanikiwa yafuatayo
1. Nimempa na nitaendelea kumpa mke wangu ujauzito na akanizalia watoto.. ni kumbukumbu nzuri mno
2. Nimefanikiwa kujikimu kimaisha pamoja na kupitia maisha magumu sana!
3. Nina wasaidia wasiojiweza kwa kadri ninavyoweza
 
Basi kama wewe msomi sana si utafute kazi ya kisomi zaidi, halafu mimi na cheti changu cha form four failure nitakuja kukupiga tanganyika jeki na kukusweka lupango siku ukibaranganya huko kwenye kazi yako ya kisomi...

By the way, hata ukidharu na kuwachukia vipi wanajeshi/polisi/magereza , mwisho wa siku wakipita lazima mwili ukushtuke. Kama unabisha hebu baranganya kidogo uone who is the dady...

Kwa fikra kama hizo hapo juu ndio maana mleta mada kasema vizuri wengi wa hawa watu hawana fikra za maendeleo ila kuonyesha nguvu na kunyanyasa wananchi - watu wanao walipa mshahara
 
John austine moja ya wanafalisafa wa sheria duniani pia alikuwa mwanajeshi katika falisafa zake za kijeshi alisema jeshini ni mahali pa strictly and obidience wewe ukitaka kuleta harakati ujue ni mamluki na haufai kuwa mwanajeshi.maana utaanza kuhoji kwanini wameniambia nyumaaaa keuka mguuuu pande.j
 
John austine moja ya wanafalisafa wa sheria duniani pia alikuwa mwanajeshi katika falisafa zake za kijeshi alisema jeshini ni mahali pa strictly and obidience wewe ukitaka kuleta harakati ujue ni mamluki na haufai kuwa mwanajeshi.maana utaanza kuhoji kwanini wameniambia nyumaaaa keuka mguuuu pande.j

Na sifa mojawapo ya msomi ni kufanya reasoning kwa kila jambo.
 
mtoa mada ana hoja lakini wachangiaji wengi baada ya kumsikia wameamka na mikuki badala ya kushika kalamu na karatasi! kuna wasomi wengi na wazuri humo, lakini hoja ushiriki wao, kutumia elimu hiyo kuleta tija kwa taifa, tumepigana vita nyingi, wakati wa amani nao ulikuwepo na upo, wanajeshi wametumikaje? leo barabara zetu zinajengwa na wanajeshi wa kichina, vifaa vyetu vinasubiri kuoneshwa kwenye sikukuu! nenda police ndo kabisa, elimu hiyo imesaidiaje kuzuia uharifu nchini?
 
mtoa mada ana hoja lakini wachangiaji wengi baada ya kumsikia wameamka na mikuki badala ya kushika kalamu na karatasi! kuna wasomi wengi na wazuri humo, lakini hoja ushiriki wao, kutumia elimu hiyo kuleta tija kwa taifa, tumepigana vita nyingi, wakati wa amani nao ulikuwepo na upo, wanajeshi wametumikaje? leo barabara zetu zinajengwa na wanajeshi wa kichina, vifaa vyetu vinasubiri kuoneshwa kwenye sikukuu! nenda police ndo kabisa, elimu hiyo imesaidiaje kuzuia uharifu nchini?

Chukua LIKE mkuu
 
hahaaaa!!! kuna kaukweli hapa,

nina ma friend mwanajeshi, anayoyaongeleaga kwakweli mmmh!!

mtoa mada mm nimekuelewa japo mie naona km watu wamepanik na kugoma kuelewa lile la msingi uliloliongelea.

huyo jamaa sio mwanajeshi wala hakupitia jeshi lolote bali anajikanyagakanyaga hapa kwa maneno ya kusikia vijiweni na kama ukitimba utatokea kwa askari yoyote mwenye degree ni ujinga wake tu wa kushindwa kufuata sheria na kanuni mbalimbali za majeshi pia graduate huwezi kukaa muda mrefu jeshini bila kuwa afisa.

hivyo mtoa mada anapiga fix tu kama vipi aje tena kwa mahojiano hapa.
 
Kuongea ni haki ya mtu, lakini haki bila mipaka ni chanzo cha uvunjifu wa amani.mi naona ungefanya utafiti kwanza kabla ya kutoa pumba zako. Kwa mtazamo wako wewe jeshini wapo form four tu? Nenda pale chuo cha polisi kilwa road au nenda chuo cha magereza ukonga utawakuta wanaofundisha elimu ya sheria halafu jiulize hao watakuwa ni form four,nenda kambi ya general A. Twalipo ukawaone wanaosoma rada pia jiulize watakuwa na elimu gani.Hebu basi jaribu kuacha huo umbumbumbu wako na kuzalau kazi za wenzako. Mimi nafikiri kwa post yako wewe utakuwa ni kilaza tu na kujiona wewe ndio msomi.huu ni ubwegest jaribu kuwa na adabu kwa wengine hata kama kwenye familia yenu wewe ndio msomi peke yako
 
Kuongea ni haki ya mtu, lakini haki bila mipaka ni chanzo cha uvunjifu wa amani.mi naona ungefanya utafiti kwanza kabla ya kutoa pumba zako. Kwa mtazamo wako wewe jeshini wapo form four tu? Nenda pale chuo cha polisi kilwa road au nenda chuo cha magereza ukonga utawakuta wanaofundisha elimu ya sheria halafu jiulize hao watakuwa ni form four,nenda kambi ya general A. Twalipo ukawaone wanaosoma rada pia jiulize watakuwa na elimu gani.Hebu basi jaribu kuacha huo umbumbumbu wako na kuzalau kazi za wenzako. Mimi nafikiri kwa post yako wewe utakuwa ni kilaza tu na kujiona wewe ndio msomi.huu ni ubwegest jaribu kuwa na adabu kwa wengine hata kama kwenye familia yenu wewe ndio msomi peke yako

Umenena vema mkuu ila punguza ukali kidogo,anyway chukua "like"
 
So ukiritimba gan unaozungumziwa.Maana huku jeshin wasomi ndio hao wanapigiwa salute,wanalipwa mishahara mizuri,wanavyeo
 
wewe kama ni asikari ukiwenda kwa njaa zako. na hata ungefanya ofisi tofauti nako ungeshindwa tu kwa sababu unaonekana ni mroho wa madaraka
 
Back
Top Bottom