REMSA
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 2,579
- 947
Mama Paulina Myovela alijeruhiwa katika ajali iliyomuua Regia Mtema amefariki dunia Muhimbili,
baada ya kukosa huduma kutokana na mgomo wa madaktari.Na mpaka sasa ndugu wapo Muhimbili
toka asubuhi wakitaka kuchukua mwili wa marehemu wamekwama kupata mwili wa mpendwa wao
kutokana na mgomo wa madaktari.
baada ya kukosa huduma kutokana na mgomo wa madaktari.Na mpaka sasa ndugu wapo Muhimbili
toka asubuhi wakitaka kuchukua mwili wa marehemu wamekwama kupata mwili wa mpendwa wao
kutokana na mgomo wa madaktari.