Majengo ya chuo yanayokodishwa yanahitajika

Majengo ya chuo yanayokodishwa yanahitajika

hamashod

Member
Joined
Jun 1, 2015
Posts
14
Reaction score
43
Tunahitaji majengo yanayofaa kwa chuo hapa DSM.Muhimu yawe ndani ya DSM,eneo tulivu lisilokuwa na kelele za watu au magari.Pia iwe rahisi wanafunzi kufika- liwe jirani na daladala zinapopita.

Wasiliana na mimi namba 0798 80 27 32.

THANX
 
Pia kuna shule inakodishwa Mbezi Luis, ni ideal kwa pre and primary school, ilishaanza, ina Usajili halali, ina majengo vymba vinne vya madarasa, ofisi nk, miundo mbinu yake ni standard sana
Mkodishaji yeye ataanza kutafuta wanafunzi tu.
 
Tunahitaji majengo yanayofaa kwa chuo hapa DSM.Muhimu yawe ndani ya DSM,eneo tulivu lisilokuwa na kelele za watu au magari.Pia iwe rahisi wanafunzi kufika- liwe jirani na daladala zinapopita.Wasiliana na mm namba 0798 80 27 32.THANX

mkuu , hiyo ni kwa dar ninayo ifahamu mimi au ipi>....?

maana naona kama kuna kujikanganya kwa taarifa yako.
 
Haya ndio yale yale ya kile Chuo cha G Mboto kinacho hama hama kama kama mpaka wa Malawi na Tanzania,mara kipo kule mara saba saba. Shikamoo CCM kwa kuichezea Elimu ya Nchi yetu.
 
Back
Top Bottom