Powder
JF-Expert Member
- Jan 6, 2016
- 4,417
- 5,441
Bahati mbaya Ma Dictator huwa hawana breki!Mkuu Libya, Iraq, Saudi Arabia, UAE, China nk. Pia mataifa ya ulaya yalipiga hatua kipindi cha kina Hitler. Nimesema mambo yakikaa sawa kwenye nchi ndio democracy irudishwe kwa mfan kwa level ambayo Libya ilifikia kiuchumi na Huduma za kijamii Gadaffi alipaswa kurejesha utawala wa kidemokrasia kwa kuwa alishainyoosha nchi