OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
This is a joke of the dayPamoja na ukongwe wake na hizi ups and down...Wassira ni kifaa kwelikweli.
This is a joke of the dayPamoja na ukongwe wake na hizi ups and down...Wassira ni kifaa kwelikweli.
Pamoja na ukongwe wake na hizi ups and down...Wassira ni kifaa kwelikweli.
na nani mkuu mbona WENGINE TUNAKUJARIBU!"SIJARIBIWI"
Aliyeshindwa Uwaziri Mkuu!Jembe Lowassa tuu
mkuu sasa huo nu ufukunyuku yatosha tu kujua ni kifaaKifaa cha nini?
Kuhusu huyu mzee, nakubaliana na wewe. Kwanza ana uwezo wa kupangua hoja. Pamoja na umri, ila huyu mzee hata kwa ushauri huyu mzee ni jembePamoja na ukongwe wake na hizi ups and down...Wassira ni kifaa kwelikweli.
Kila zama na vitabu vyake...Mheshimiwa anayo mamlaka ya kuteua na kutengua uteuzi wakati wowote. Kwa mtazamo wangu kuna majembe ambayo labda yangetusaidia, na nikiyapanga kwa rank ya umuhimu ni kama ifuatavyo :
1. Dr Sylvester Likwelile - PS Fedha
2. Dr. Ally Simba - TCRA
3. Mr Benard Mchomvu - chairman TRA
4. Kanali Fabian Massawe - RC Kagera
5. Lawrence Mafuru - Hazina
Mzee hawa jamaa wakipangiwa kazi nyingine muhimu watatusaidia sana. Pia chonde chonde Prof Ndullu ni jembe at your wish apewe nafasi , tena ikiwezekana muondolee hofu kuwa hataondoka ili awe huru zaidi
Kuna dogo namkubali sana ningependa kuona na yeye anakumbukwa kwa kweli,Mheshimiwa anayo mamlaka ya kuteua na kutengua uteuzi wakati wowote. Kwa mtazamo wangu kuna majembe ambayo labda yangetusaidia, na nikiyapanga kwa rank ya umuhimu ni kama ifuatavyo :
1. Dr Sylvester Likwelile - PS Fedha
2. Dr. Ally Simba - TCRA
3. Mr Benard Mchomvu - chairman TRA
4. Kanali Fabian Massawe - RC Kagera
5. Lawrence Mafuru - Hazina
Binadamu wote nawaomba radhi kwa pendekezo langu kuonekana lina ukakasi, lakini natoa wito kwa wapigakura wa jimbo la mtera nao watuombe radhi watanzani kwa kitendo chao walichokifanya.Livingstone lusinde? .watake radhi binadamu.
Really?Pamoja na ukongwe wake na hizi ups and down...Wassira ni kifaa kwelikweli.
Lusinde Judge?Wewe huyajui majembe Lusinde anawao ng oza wote uliwataja, hawamfikii hata kwa dawa
Iki iki mbwangeWasicho penda mi Napenda
Unacho kipenda usiniladhimishe mi nikipende
....... Yeton Utonga Lin Usangi
Mbona umemuacha Mama yake mdogo na Le Mutuzzz
Dr.Ramadhan Kitwana Dau
Stephen Wassira
Omar Chambo
Anne Kilango