Watu wengi watakataa, lakini Wassira ni Kiongozi haswaaPamoja na ukongwe wake na hizi ups and down...Wassira ni kifaa kwelikweli.
Watu wengi watakataa, lakini Wassira ni Kiongozi haswaaPamoja na ukongwe wake na hizi ups and down...Wassira ni kifaa kwelikweli.
MmhhKibajaji una hamu ya mipasho na ngonjera mwacheni aendelee kuelimisha wananchi wake na imani potofu za kunyonywa damu
Dau mwivi au yupiDr.Ramadhan Kitwana Dau
Stephen Wassira
Omar Chambo
Anne Kilango
Huyu mleta mada atakuwa mtoto wa mmojawapo was hao aliowataja,kuna vifaa vipya viko vingi sana mitaani kwa nini wawe hao waliotumika mpaka wakachokaWasomi wapo kibao mtaani wacha wengine wapate hizo nafasi.
Huyu mleta mada atakuwa mtoto wa mmojawapo was hao aliowataja,kuna vifaa vipya viko vingi sana mitaani kwa nini wawe hao waliotumika mpaka wakachoka
Asante kwa kuwasemea. Wapo wengi mno wenye sifa na ari kuliko hawo waliotajwa na mleta uziWasomi wapo kibao mtaani wacha wengine wapate hizo nafasi.
Fabian Massawe ukaskazini umemponza ila ni jembe sana.Fabiani Masawe namkubali sana ni mchapakazi
Prof. Ndullu
Definitely u north ume m cost,ila jpm anaipeleka nchi jehanamu,kamwe hatufiki popoteFabian Massawe ukaskazini umemponza ila ni jembe sana.