HKigwangalla
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 717
- 971
Tafakuri Tunduizi:
Vijana wa kitanzania wana ndoto za kuishi maisha mazuri. wanahangaika kujenga nyumba zao mbali na mji, wengine itawachukua lifetime kukamilisha ujenzi wa nyumba zao na mara nyingi ili kukwepa adha ya kupanga watajikuta wanaishi kwenye nyumba ambazo hazijakamilika. Kiinua mgongo chao kinatunzwa kwenye mifuko ya jamii na mwisho watakuja kupewa wakiwa wamezeeka na wakiwa wametumiki...a nchi yao, ujana wao wakiwa wameishi maisha magumu sana. Kwa nini iwe hivyo?
Mimi nadhani wana-deserve better from their hard work. Serikali ijenge nyumba nyingi, nzuri na iwakopeshe wafanyakazi wanaowekeza kiinua mgongo chao kwenye mifuko ya jamii.
Hii itawafanya wajenga nchi wetu wafanye kazi kwa bidii na waishi maisha mazuri leo na siyo jasho lao lifaidishe kizazi kingine kijacho kesho. Hii itawafanya waongeze morali kwenye kazi na pia wawe more committed kwenye kazi maana alama za usaliti wa viongozi hazitoonekana wazi zaidi na kila mtanzania ataona serikali inamuangalia kila mtu.
Zoezi liwe endelevu na kila mmoja wetu mwisho wa siku aje kupata nyumba hizi bora. Maeneo yatabaki wazi kwa kiasi kikubwa na yatatumika kwa kazi nyingine za uzalishaji na siyo ujenzi huu kama wa leo wa vinyumba scattered kila mahali. Mpango huu utakuwa umelenga mbali na hivyo miundombinu ya viwanda, treni za abiria, mabasi ya kasi, maji na umeme itakuwa kwenye mpango na hivyo utekelezaji wake utakwenda kwa awamu kadri tunavyoendelea!
Vijana wa kitanzania wana ndoto za kuishi maisha mazuri. wanahangaika kujenga nyumba zao mbali na mji, wengine itawachukua lifetime kukamilisha ujenzi wa nyumba zao na mara nyingi ili kukwepa adha ya kupanga watajikuta wanaishi kwenye nyumba ambazo hazijakamilika. Kiinua mgongo chao kinatunzwa kwenye mifuko ya jamii na mwisho watakuja kupewa wakiwa wamezeeka na wakiwa wametumiki...a nchi yao, ujana wao wakiwa wameishi maisha magumu sana. Kwa nini iwe hivyo?
Mimi nadhani wana-deserve better from their hard work. Serikali ijenge nyumba nyingi, nzuri na iwakopeshe wafanyakazi wanaowekeza kiinua mgongo chao kwenye mifuko ya jamii.
Hii itawafanya wajenga nchi wetu wafanye kazi kwa bidii na waishi maisha mazuri leo na siyo jasho lao lifaidishe kizazi kingine kijacho kesho. Hii itawafanya waongeze morali kwenye kazi na pia wawe more committed kwenye kazi maana alama za usaliti wa viongozi hazitoonekana wazi zaidi na kila mtanzania ataona serikali inamuangalia kila mtu.
Zoezi liwe endelevu na kila mmoja wetu mwisho wa siku aje kupata nyumba hizi bora. Maeneo yatabaki wazi kwa kiasi kikubwa na yatatumika kwa kazi nyingine za uzalishaji na siyo ujenzi huu kama wa leo wa vinyumba scattered kila mahali. Mpango huu utakuwa umelenga mbali na hivyo miundombinu ya viwanda, treni za abiria, mabasi ya kasi, maji na umeme itakuwa kwenye mpango na hivyo utekelezaji wake utakwenda kwa awamu kadri tunavyoendelea!