Majanga haya sasa mengine

Majanga haya sasa mengine

jembe afrika

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
7,602
Reaction score
3,781
Nimeingia kwenye uhusiano na mdada mmoja alikua ameolewa sasa ameachana na jamaa yake na walibahatika kuzaa mtoto mmoja, sasa huyu dada haishi na mtoto, mtoto yuko kwa bibi yake Kijijini, nimekua namhudumia kwa kila kitu ni kama UN inavyohudumia wakimbizi na mimi nimekua nahudumia kila kitu.

Hivi Juzi kanieleza mtoto kafukuzwa shule ada inahitajika, sasa nikajiuliza inakuaje nitoe ada tena na baba wa mtoto yupo wadau hii imekaaje? Yaani hadi hamu ya papuchi imeisha p.umbu zote zimeingia ndani mi inabidi nile kona nisije nikafa siku si zangu maana hii mizinga ya syria imenishinda.
 
Minadhani umeshashiba sasa unatafuta sababu vp mwanzo umsaidie halafu sasa unasema umeshindwa? ulianza kujionyesha unazo na ukaanza oooh mtoto wetu vipi anahitaji nini ili upewe bila kipimo,sasa umepewa ushashida unaaanza kuchomoa vibaya ivoo! ebu msaidiee...
mkuu sasa nitalipaje ada ya mtoto wakati baba yake yupo,mi nitalipia papuchi tu.
 
Hahahahahaha! dah!
Ni hivi mkuu, kuweza kumhudumia mtu vizuri unatakiwa uwe umempenda kweli.
Kwa mfano huyo angekuwa mkeo usingemvalue kwa hicho kiungo kwa sababu that is the value of a common prostitute.

If you think you are not getting the value for your efforts better terminate the unhealthy relationship
 
Aliyekuomba ada hajui kama wewe si baba wa mtoto?
Kijijini ada sh ngapi?
Aliekuomba anaelewa wewe ndo wakumsaidia umeshindwa mwambie Asipoelewa ndo utimke
Nb. Kutoa ni moyo
sio kijijini sana unavyofikiri mkuu.ni shule ya private mkuu wangu
 
umesema unahudumia kila kitu ada imekushindaje??? nina hakika mtoto bado mdogo atakua msingi tu ina mana hela imekushinda? mtoto ni malaika hana hatia kutoa ni moyo si utajiri kama yamekushinda sepa kimya kimya
 
nimeingia kwenye uhusiano na mdada mmoja alikua ameolewa sasa ameachana na jamaa yake na walibahatika kuzaa mtoto mmoja,sasa huyu dada haishi na mtoto,mtoto yuko kwa bibi yake kijijini,nimekua namhudumia kwa kila kitu ni kama un inavyohudumia wakimbizi na mimi nimekua nahudumia kila kitu.shida juzi kanieleza mtoto kafukuzwa shule ada inahitajika,sas nikajiuliza inakuaje nitoe ada tena na baba wa mtoto yupo wadau hii imekaaje?yaani hadi hamu ya papuchi imeisha p.umbu zote zimeingia ndani mi inabidi nile kona nisije nikafa siku si zangu maana hii mizinga ya syria imenishinda.

Ni bora ubaki single kuliko kuoa mwanamke mwenye mtoto.

Tena ilibidi wanaume tuwasuse wenye watoto ili watunze papuchi zao.
 
Hahahahhahaha kereuwiii, umesema unahudumia kama UN?
Alafu ada ngumu kutema hahahahah kaaah
 
Wanasema ukimpenda mmakonde mpende na ndonya yake. Kama unampenda na uwezo unao we lipa hiyo karo fasta. Ila kama huna uwezo usiingie madeni kula kona maana itakuumiza sana ukiingia madeni halafu siku za mbeleni mama akuletee za kuleta wakati umemsomeshea mtoto
 
umesema unahudumia kila kitu ada imekushindaje??? nina hakika mtoto bado mdogo atakua msingi tu ina mana hela imekushinda? mtoto ni malaika hana hatia kutoa ni moyo si utajiri kama yamekushinda sepa kimya kimya
aisee nasepa
 
Aisee umetuaibosha balaa, hiyo papuchi ujue ndo ilimtoa huyo mtoto. Lipa ada wewe so unataka papuchi tu mtoto humtaki. Huyo mtoto akijua aisee utalaanika we mwanaume! Papuchi tamu matunzo machungu loh!
 
Back
Top Bottom