Inafurahisha, nimeisoma jana na leo nimeirudia. Mbaya zaidi imenikumbusha jamaa fulani toka MZA wakati niko chuo alilala mchana chali na joto kali la DSM hakujifunika kitu alibaki na nguo ya ndani tu, kutokana na kukaa muda mrefu bila kukutana na mamaaaaa alichokuwa anaota anajua mwenyewe lakini niliona rungu linachungulia mara..majambos yanamwagika kama gari la polisi la maji ya kuwasha........!!!!!! (ambaye hajanielewa hajakua..)