Jambazi linalouwa linapelekwa mahakamani anahukumiwa miezi mitatu kwanini isiwe hivi likisha hukumiwa polisi walipige risasi,
wao wanaua na wao wauliwe anaetumia silaha apigwe na risasi
anetumia panga apigwe na panga
Si kuna sheria za nchi yaani ki kakatiba ndio iko hivyo,lakini sio sahihi mi naona bora iwe haki bin haki,uhukumiwe kama vile ulivyofanya kosa lako. Lakini je sheria itaafiki?
Jambazi linalouwa linapelekwa mahakamani anahukumiwa miezi mitatu kwanini isiwe hivi likisha hukumiwa polisi walipige risasi,
wao wanaua na wao wauliwe anaetumia silaha apigwe na risasi
anetumia panga apigwe na panga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.