Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,527
- 93,098
Nikikuelewesha mimi ndio hutoweza kabisa kunielewa, endelea kuwa member wa JF umri wako ukiongezeka hapa utaijuwa miandiko ya watu wengi na utakuja kubaini wakikwambia kata kushoto wewe usikate bali kata kulia na wote utawakuta huko, yaliyomo yamooo.Mkuu tafadhali nisaidie umeelewa nini hapo ?