Naambiwa kuna askari alikuwa maeneo yakaribu baada yakuona majambazi yana mashine za hatari eti kavua gwanda la juu kakimbia
kifua wazi kuogopa asijulikane na hao jamaa.
Polisi wamejipanga kuzuia maandamano ya chadema sii ujambazi
Hebu wewe jinias utuambie ni wakati gani majambazi watavamia na wapi?Policcm mibichwa maji kweli wao wapo busy na cdm intellegensia ya majambazi huwa hawapati kabisa!!
Sasa ulitaka aende na kirungu kupambana nayo?Naambiwa kuna askari alikuwa maeneo yakaribu baada yakuona majambazi yana mashine za hatari eti kavua gwanda la juu kakimbia
kifua wazi kuogopa asijulikane na hao jamaa.
Mkuu picha tafadhali.