Bado natafuta
Senior Member
- Oct 3, 2021
- 144
- 151
Habari wakuu kama inavyosema title hapo juu. Ikumbukwe mwaka Jana ilitokea ajali ya ndege kule bukoba na hata hivyo alipatikana kijana mmoja aliyejulikana kwa jina la majaliwa ambaye amejizolea umaalufu kwa ujasiri alioonesha kwa kuokoa maisha ya watu.
Je, majaliwa amepata ajira? Amepata ajira lini? Na ameajiriwa wapi?, Ni kitengo gani?
Je, majaliwa amepata ajira? Amepata ajira lini? Na ameajiriwa wapi?, Ni kitengo gani?
