Majaliwa Jackson ameajiriwa wapi na kitengo kipi?

Majaliwa Jackson ameajiriwa wapi na kitengo kipi?

Niliona taarifa ya kumaliza mafunzo yake ameajiriwa kitengo cha jeshi la uokozi baharini. Habari nakumbuka ilikuwa inaeleza hivo
Pesa nyingi ( kama Zawadi ) alizopewa, Sifa kem kem na Elimu aliyosomeshwa huko Kisiwani Zanzibar Kwake Yeye ni Ajira tosha na nitamshangaa nikisikia anasubiria Ajira.
 
Back
Top Bottom