Umewasilisha Majungu.Habarini wana jamvi...!
Ujumbe huu ukufikie Kaimu Jaji Mkuu kwa kukupa taarifa kwamba Majaji walioharibu kesi za madawa ya kulevya na wanaosubiri impeachment kutoka kwako ni Mh. Jaji PENDO MSUYA na Mh, Jaji Dr. FAIZ TWAIB....(Reference: Gazeti la Jamhuri, Agosti 27 - 02 September, 2013)
Natumaini Commissioner General wa TDCEA, Dr. Rogers Siyanga unazo taarifa kwa kuwa wewe umetokea TISS taarifa za majaji hawa unazo, ikiwa pamoja na utajiri wanaomiliki, na inasemekana mmoja wa majaji hawa alihamishiwa mtwara kuwa Jaji Mfawidhi ili apande kuwa Jaji wa Rufani na baadae awe Jaji Mkuu, lakini skendo zake za kusamehe walipa kodi wakubwa wa TRA katika ile TRIBUNAL COURT YA KODI ndivyo vitu vilivyomuangusha, natoa wito kwa JPM na TISS kwa ujumla Mheshimiwa Jaji huyu pamoja na PhD yake lakini anahusika na UHUJUMU UCHUMI, wa kusamehe walipa kodi alipokuwa na kofia ya mwenyekiti wa TRIBUNAL YA RUFAA ZA KODI, na TLS wamchunguze ikibidi wamfutie Registration yake...na inadaiwa ni swahiba mkubwa sana wa Rais wa Awamu zilizopita....na hizi ni zama za uwazi na ukweli, hakuna chuki wala hatumuonei mtu...!
JPM tuma vyombo vyako kwa huyu Mh. Dr. FAIZ TWAIB...!
Nawasilisha...!
Unaona ajabu kuchunguzwa mnaleta taarifa zenu za majungu hapa kama ushaidi unaopeleka Polisi
Wabongo hivi sasa tumekua na maisha ya wivu kwa mwenzio
Umewasilisha Majungu.
Pia, Unaugua maradhi ya kukurupuka.
Taarifa tu,
Hayupo na hajawahi kuwepo jaji mwenye Shahada ya Uzamili na mwenye jina la FAIZ TWAIB.
Hii ni Mihemko yenye Wivu iliyorutubishwa na kimbelembele cha Unafiki wa Waliokosa cha kufanya.
Whistle blower hujui hata Jina sahihi la unaemchongea?
Goddammit!
Mtakuwa Wachawi Uzeeni nyie.
Wabongo hivi sasa tumekua na maisha ya wivu kwa mwenzio
Ongezea na wale waliosilikiliza ile kesi ya samaki na kuwapa ushindi yaani mwizi nimkamate kwenye nyumba yangu na kidhibiti halafu nimpeleke mahakani eti anionekane malaika na fidia nimlipe mpaka leo nikiwaza huwa napata kizunguzungu.
Sasa nyie mnaoleta mambo haya mnafanya mambo haya bila kujua:
- Mnathibitisha kuwa kweli Mahakama yetu haiko huru maana majaji wanashtakiwa kwa rais
-Kwamba mahakimu na majaji wanafanya kazi kwa hofu ya kushtakiwa
-Uvumi wa TISS kutumika kuwatisha majaji kwa kurekodi simu zao na kwenda kuwaona kuhusu
kesi fulani fulani, ni za kweli
-Kwamba TISS haina kazi nyingine hivi sasa kuchunguza mambo haya ya kuoneana wivu
-Tume ya Mahakama na vyombo vingine viiachie TISS kazi hizi
Twaafa
Jaji hachunguzwi kwa utaratibu huo soma Katiba vizuri
Kwasasa Pale Kwenye Upande Wa Majaji Kuna Hawa Majaji Wawili
Jaji Mama Mashaka
Jaji Awadh
Hao Ni Watu Wa Systems Muda Siyo Mrefu Kitajulikana Kuhusu Tuhuma Za Hao Uliowataja
Hivi mbona orodha ni ya upande moja tu?Kwasasa Pale Kwenye Upande Wa Majaji Kuna Hawa Majaji Wawili
Jaji Mama Mashaka
Jaji Awadh
Hao Ni Watu Wa Systems Muda Siyo Mrefu Kitajulikana Kuhusu Tuhuma Za Hao Uliowataja
unamaanisha nini? ni pamoja na ile kesi ya ardhi aliyohukumu yenye allegation kwamba alichukua mil.400? ile kesi ya mzungu wanayotumia madogo siku hizi shule kama kesi ya kujifunzia?Habarini wana jamvi...!
Ujumbe huu ukufikie Kaimu Jaji Mkuu kwa kukupa taarifa kwamba Majaji walioharibu kesi za madawa ya kulevya na wanaosubiri impeachment kutoka kwako ni Mh. Jaji PENDO MSUYA na Mh, Jaji Dr. FAIZ TWAIB....(Reference: Gazeti la Jamhuri, Agosti 27 - 02 September, 2013)
Natumaini Commissioner General wa TDCEA, Dr. Rogers Siyanga unazo taarifa kwa kuwa wewe umetokea TISS taarifa za majaji hawa unazo, ikiwa pamoja na utajiri wanaomiliki, na inasemekana mmoja wa majaji hawa alihamishiwa mtwara kuwa Jaji Mfawidhi ili apande kuwa Jaji wa Rufani na baadae awe Jaji Mkuu, lakini skendo zake za kusamehe walipa kodi wakubwa wa TRA katika ile TRIBUNAL COURT YA KODI ndivyo vitu vilivyomuangusha, natoa wito kwa JPM na TISS kwa ujumla Mheshimiwa Jaji huyu pamoja na PhD yake lakini anahusika na UHUJUMU UCHUMI, wa kusamehe walipa kodi alipokuwa na kofia ya mwenyekiti wa TRIBUNAL YA RUFAA ZA KODI, na TLS wamchunguze ikibidi wamfutie Registration yake...na inadaiwa ni swahiba mkubwa sana wa Rais wa Awamu zilizopita....na hizi ni zama za uwazi na ukweli, hakuna chuki wala hatumuonei mtu...!
JPM tuma vyombo vyako kwa huyu Mh. Dr. FAIZ TWAIB...!
Nawasilisha...!
Sitaki kutetea ila nafikiri sio haki kuwahukumu au kuwataja waheshima hawa waziwazi tena kuwahusisha na maamuzi waliyoyafanya, mimi ninachojuaHabarini wana jamvi...!
Ujumbe huu ukufikie Kaimu Jaji Mkuu kwa kukupa taarifa kwamba Majaji walioharibu kesi za madawa ya kulevya na wanaosubiri impeachment kutoka kwako ni Mh. Jaji PENDO MSUYA na Mh, Jaji Dr. FAIZ TWAIB....(Reference: Gazeti la Jamhuri, Agosti 27 - 02 September, 2013)
Natumaini Commissioner General wa TDCEA, Dr. Rogers Siyanga unazo taarifa kwa kuwa wewe umetokea TISS taarifa za majaji hawa unazo, ikiwa pamoja na utajiri wanaomiliki, na inasemekana mmoja wa majaji hawa alihamishiwa mtwara kuwa Jaji Mfawidhi ili apande kuwa Jaji wa Rufani na baadae awe Jaji Mkuu, lakini skendo zake za kusamehe walipa kodi wakubwa wa TRA katika ile TRIBUNAL COURT YA KODI ndivyo vitu vilivyomuangusha, natoa wito kwa JPM na TISS kwa ujumla Mheshimiwa Jaji huyu pamoja na PhD yake lakini anahusika na UHUJUMU UCHUMI, wa kusamehe walipa kodi alipokuwa na kofia ya mwenyekiti wa TRIBUNAL YA RUFAA ZA KODI, na TLS wamchunguze ikibidi wamfutie Registration yake...na inadaiwa ni swahiba mkubwa sana wa Rais wa Awamu zilizopita....na hizi ni zama za uwazi na ukweli, hakuna chuki wala hatumuonei mtu...!
JPM tuma vyombo vyako kwa huyu Mh. Dr. FAIZ TWAIB...!
Nawasilisha...!
Sitaki kutetea ila nafikiri sio haki kuwahukumu au kuwataja waheshima hawa waziwazi tena kwa kuwahusisha na maamuzi waliyoyafanya, kesi yeyote utashinda kama unaushahidi wa kutosha, ieleweke wazi kuwa maamuzi ya mahakama hizi ni tofauti sana na mahakama za kawaida kwani maamuzi yake hutolewa baada ya pande zote mbili kutoa hoja mbele ya jopo linalosikiliza, ambalo kwa upande wa serikali ni secretariat (ambao ni katibu wa Tribunal, waumbe wasiopungua watatu ambao wameteuliwa na waziri na ambao sio waajiriwa wa serikali na wataaalam wa masuala ya kodi ambao ni waajiriwa wa serikali n.k) kwa kawaida sio sahihi kumtuhumu Mwenyekiti kuwa amependelea maana kwa kiasi kukubwa hukumu huandaliwa na hao wataalam wa hayo masuala. Ninashauri tu ungepitia majukumu ya Mwenyekiti na utendaji wa hizi Mamlaka kuliko kutoa tuhuma kwa njia hii. Isitoshe tribunal pamoja naHabarini wana jamvi...!
Ujumbe huu ukufikie Kaimu Jaji Mkuu kwa kukupa taarifa kwamba Majaji walioharibu kesi za madawa ya kulevya na wanaosubiri impeachment kutoka kwako ni Mh. Jaji PENDO MSUYA na Mh, Jaji Dr. FAIZ TWAIB....(Reference: Gazeti la Jamhuri, Agosti 27 - 02 September, 2013)
Natumaini Commissioner General wa TDCEA, Dr. Rogers Siyanga unazo taarifa kwa kuwa wewe umetokea TISS taarifa za majaji hawa unazo, ikiwa pamoja na utajiri wanaomiliki, na inasemekana mmoja wa majaji hawa alihamishiwa mtwara kuwa Jaji Mfawidhi ili apande kuwa Jaji wa Rufani na baadae awe Jaji Mkuu, lakini skendo zake za kusamehe walipa kodi wakubwa wa TRA katika ile TRIBUNAL COURT YA KODI ndivyo vitu vilivyomuangusha, natoa wito kwa JPM na TISS kwa ujumla Mheshimiwa Jaji huyu pamoja na PhD yake lakini anahusika na UHUJUMU UCHUMI, wa kusamehe walipa kodi alipokuwa na kofia ya mwenyekiti wa TRIBUNAL YA RUFAA ZA KODI, na TLS wamchunguze ikibidi wamfutie Registration yake...na inadaiwa ni swahiba mkubwa sana wa Rais wa Awamu zilizopita....na hizi ni zama za uwazi na ukweli, hakuna chuki wala hatumuonei mtu...!
JPM tuma vyombo vyako kwa huyu Mh. Dr. FAIZ TWAIB...!
Nawasilisha...!
Sitaki kutetea ila nafikiri sio haki kuwahukumu au kuwataja waheshima hawa waziwazi tena kwa kuwahusisha na maamuzi waliyoyafanya, kesi yeyote utashinda kama unaushahidi wa kutosha, ieleweke wazi kuwa maamuzi ya mahakama hizi ni tofauti sana na mahakama za kawaida kwani maamuzi yake hutolewa baada ya pande zote mbili kutoa hoja mbele ya jopo linalosikiliza, ambalo kwa upande wa serikali ni secretariat (ambao ni katibu wa Tribunal, wajumbe wasiopungua watatu ambao wameteuliwa na waziri na ambao sio waajiriwa wa serikali wengine ni wataaalam wa masuala ya kodi ambao ni waajiriwa wa serikali n.k) kwa kawaida sio sahihi kumtuhumu Mwenyekiti kuwa amependelea maana kwa kiasi kukubwa hukumu huandaliwa na hao wataalam wa hayo masuala. Ninashauri tu ungepitia majukumu ya Mwenyekiti na utendaji wa hizi Mamlaka kuliko kutoa tuhuma kwa njia hii. Ni vizuri kujua haya mambo kabla ya kutoa tuhuma kubwa kama hizi.Habarini wana jamvi...!
Ujumbe huu ukufikie Kaimu Jaji Mkuu kwa kukupa taarifa kwamba Majaji walioharibu kesi za madawa ya kulevya na wanaosubiri impeachment kutoka kwako ni Mh. Jaji PENDO MSUYA na Mh, Jaji Dr. FAIZ TWAIB....(Reference: Gazeti la Jamhuri, Agosti 27 - 02 September, 2013)
Natumaini Commissioner General wa TDCEA, Dr. Rogers Siyanga unazo taarifa kwa kuwa wewe umetokea TISS taarifa za majaji hawa unazo, ikiwa pamoja na utajiri wanaomiliki, na inasemekana mmoja wa majaji hawa alihamishiwa mtwara kuwa Jaji Mfawidhi ili apande kuwa Jaji wa Rufani na baadae awe Jaji Mkuu, lakini skendo zake za kusamehe walipa kodi wakubwa wa TRA katika ile TRIBUNAL COURT YA KODI ndivyo vitu vilivyomuangusha, natoa wito kwa JPM na TISS kwa ujumla Mheshimiwa Jaji huyu pamoja na PhD yake lakini anahusika na UHUJUMU UCHUMI, wa kusamehe walipa kodi alipokuwa na kofia ya mwenyekiti wa TRIBUNAL YA RUFAA ZA KODI, na TLS wamchunguze ikibidi wamfutie Registration yake...na inadaiwa ni swahiba mkubwa sana wa Rais wa Awamu zilizopita....na hizi ni zama za uwazi na ukweli, hakuna chuki wala hatumuonei mtu...!
JPM tuma vyombo vyako kwa huyu Mh. Dr. FAIZ TWAIB...!
Nawasilisha...!
Hayupo Mtu kama huyo pia Duniani kote.NI FAUZ TWAIB KWA SASA NI JAJI MFAWIDHI WA MAHAKAMA KUU KANDA YA MTWARA..! NA NI DAKTARI WA PhD...!