Shalom
JF-Expert Member
- Jun 17, 2007
- 1,315
- 124
millioni 35
Dawa ya huyu mtu ni kuachana naye kabisa. Angekuwa ni mtu anayetoa maoni yake lazima hoja zingine angekuwa upande huu na mwingine huu, sasa huyu mtu yuko upande mmoja kila hoja mnaangaika naye kwa nini? tufanye kama tulivyofanya kwa mwali