NYENJENKURU
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 1,063
- 288
Mfano Mofu...Kwa akina Lumbanga mmmmmh hata ukinjenga nyumba ukimaliza tu kifo ukichelewa kuzikwa unageuka mnyama.....Pia sehemu za Mahenge pia hipo hiyo mdau wa Kilombero.kwa tunaotoka Kilombero hatupati tabu kuelewa jambo hili....baadhi ya koo fulani fulani tukiwa katika misiba yao basi mazishi huarakishwa ili kupesha maiti kugeuka simba, chatu nk........tena utasikia wanasema duuh ameshaanza kugeuka humo ndani anaota kwato basi mtakimbizwa makaburini haraka sana......koo hizo naomba nizihifadhi kwa sasa ila zipo Kilombero na huleta mitafaruku yenye sura hiyo misibani, ili kuepusha hayo basi madawa ya kienyeji huwa yanatumika kuchelewesha maiti kugeuka na wakati mwingine inabidi maiti izikwe na kipande cha ngozi ya mnyama fulani kwenye paji la uso ili hata akigeuka hapo baadae (baada ya mazishi) asiwe na madhara......ninachooamini mpuuzi ibilisi anaweza kufanya jambo lolote ku justify uwezo wake kwa wanaomwamini na kumtii kwani yeye ni mwongo toka mwanzo wala kweli haimo ndani mwake
mix with yours
NYAMBO NGALI,ni Mwanga ata mimi nimeamini.
..usishangae ukasikia marehemu alikuwa na ugomvi wa kumgombea bwana na mke mwenzie...........duh hatari au mambo ya kichawi??
teh teh...nenda usukumani kunakijiji ukijidaunajua mvua itakuwa inanyesha kwako tu au ulipo, na ukitaka kupika chakula hakiivi au unajikuta unatandikwa fimbo na mtu ambae humuoni...acha mkuu haya mambo yapo ukikataa kuwa haya po basi wewe mbishi tu...
kwa tunaotoka Kilombero hatupati tabu kuelewa jambo hili....baadhi ya koo fulani fulani tukiwa katika misiba yao basi mazishi huarakishwa ili kupesha maiti kugeuka simba, chatu nk........tena utasikia wanasema duuh ameshaanza kugeuka humo ndani anaota kwato basi mtakimbizwa makaburini haraka sana......koo hizo naomba nizihifadhi kwa sasa ila zipo Kilombero na huleta mitafaruku yenye sura hiyo misibani, ili kuepusha hayo basi madawa ya kienyeji huwa yanatumika kuchelewesha maiti kugeuka na wakati mwingine inabidi maiti izikwe na kipande cha ngozi ya mnyama fulani kwenye paji la uso ili hata akigeuka hapo baadae (baada ya mazishi) asiwe na madhara......ninachooamini mpuuzi ibilisi anaweza kufanya jambo lolote ku justify uwezo wake kwa wanaomwamini na kumtii kwani yeye ni mwongo toka mwanzo wala kweli haimo ndani mwake
mix with yours
ushirikina upo tuu, hata huko lindi kuna mtu aliwahi kugeuka simba na bado yupo mpaka sasa, ni simba asiye na madhara kwa watu wema.
Ni kweli hiyo habari ipo lakini ni ngumu sana kuamini. Inachosema, kwa ufupi, ni kuwa mwiliw a Bi Jamida Lucas (27) mkazi wa kijiji cha Igundu wilayani Bunda uligeuka imbo na kuwa na sura ya ng'ombe muda mfupi baada ya kufariki.
Pia, pamoja na kugeuka sura na kuwa kama ng'ombe, mwili huo ulivimba sana jambo lililowafanya ndugu na waombolezaji wautoe ndani na kuuweka nje kwa hofu kuwa unaweza kuvimba zaidi na kushindwa kupita mlango wakatakapokwenda kuzika.
Baadaye ukiwa nje, mwili uliendelea kuvimba huku viungo vingine vikibadilika pia na kuanza kutoa kinyesi cha ngombe...
Nasema ni vigumu sana kuamini habari kama hizi
sawa sawa_yaani mpaka uende dukani kununua sukari ndio upate kipande ulicofungiwa sukari then ukisome...hebu wekeni hii habari hapa wakuu
Kawaida siamini ushirikina, lakini kwa hili nafikiria upya!
He! Ni sehemu gani huko nikamuone huyo simba?Ushirikina Upo tuu, hata huko Lindi kuna mtu aliwahi kugeuka simba na bado yupo mpaka sasa, ni simba asiye na madhara kwa watu wema.
Tunaficha nini mkuu,ni hawa ndugu zetu wandamba.Kama umeshawahi kukaa na wandamba,maumbo yao juu ni wapana chini wembamba hali inayowafanya wafanane na simba.kwa tunaotoka Kilombero hatupati tabu kuelewa jambo hili....baadhi ya koo fulani fulani tukiwa katika misiba yao basi mazishi huarakishwa ili kupesha maiti kugeuka simba, chatu nk........tena utasikia wanasema duuh ameshaanza kugeuka humo ndani anaota kwato basi mtakimbizwa makaburini haraka sana......koo hizo naomba nizihifadhi kwa sasa ila zipo Kilombero na huleta mitafaruku yenye sura hiyo misibani, ili kuepusha hayo basi madawa ya kienyeji huwa yanatumika kuchelewesha maiti kugeuka na wakati mwingine inabidi maiti izikwe na kipande cha ngozi ya mnyama fulani kwenye paji la uso ili hata akigeuka hapo baadae (baada ya mazishi) asiwe na madhara......ninachooamini mpuuzi ibilisi anaweza kufanya jambo lolote ku justify uwezo wake kwa wanaomwamini na kumtii kwani yeye ni mwongo toka mwanzo wala kweli haimo ndani mwake
mix with yours