Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,340
- 10,957
Hali bado ni tete hivi sasa magari yanapita barabarani kutangaza hali ya hatari na wanawaomba wananchi waingie majumbani mwao.
mbona kwenye tv wametuambia zimeisha au ni uongo? Nambie bana ili niongeze ka castle kengine sasa hivi