Maisha

Halafu wakiwekea damu za hedhi kwenye vyakula vyao wanasema madada wa kazi wabaya.

Ukichunguza kiundani maboss wa design hiyo ni wale waliotoka kwenye ufukara wa kutupwa kipindi cha makuzi yao kiasi cha kuwa na ulimbukeni wa kipato.
 
Na shungi lake 😏
Hawa wavaa mishungi wengi wana unafki sana sijui kwanini??

Baadae wakiwekea vitoto vyao sumu wanaanza kujiliza pumbavu..!!
Nilikutana na video moja dada mmoja wa kikenya alikuwa Saudia, alikwenda kufanya kazi za ndani lakini wakamgeuzia kibao, wakimwambia awe analalwa na mbwa kila siku. Miaka miwili yote kazi yake ikawa ni kufungiwa chumbani, wanampa dawa za kupandisha hamu ya tendo, na mbwa anamwingilia. Na siyo mbwa mmoja, anasema ni mijibwa mikubwa, asubuhi linaletwa moja, jioni jingine.
 
we ni waFB sio?
so na wewe ni miongoni mwa mapoyoyo!
 
Inauma sana.

Haya ni maisha na yanasura mbalimbali.

Usiku mmoja nilipata matatizo usiku. Nilitegemea kupewa msaada na jirani. Tena nikiwa karibu na kwake kwa maana hatua chache kutoka kwangu, jamaa ametulia tu.

Kesho yake nauliza jamaa mbona hajanisaidia, nikaambie tena anadai niachwe tu.

Haya maisha yana maajabu. Huyu hanitakii mama.

Kwa hii picha haya maisha yanatendeka sana.

Bali inategemea na roho ya mtu, mimi nimekaa na wasichana wengi wa kazi, kwanza nawafanya sehem ya familia yangu. Ila bahati isivyokwangu wanaishia kuniona Fala. Binti mmoja alidiriki kutamka ..."humu kwenu kuna kipi cha kuiba..". Alivyotamka nikawaza haraka suna nini ndani, kwani ndani kunatakiwa kuwe na nini. Tv, makabati ,viti meza, vitu vipi sasa nikawa sielewi...


Nimajiwazia nasomesha watoto expensive schools, ninaisha kwenye nyumba yangu, I have car what else. Nimabaki kimya tu.

Wasichana wa kazi si kila mmoja atafaa, wengine wameharibiwa kwao. Yule binti ukifuatilia mazungumzo na mama aake ni kama kitu na mwenzake, baadake anauita binti huyo wa miaka 16 lugha ambayo unaona kabisa wamempa mama mapema.
 
Hao wadada mtu mwenye roho chafu kama hiyo ndio wana kaa na kudumu miaka kwa miaka ila ishi nae wewe ki ubinadamu na utu vituko kila leo.
 
Hapo tatizo sio baba wala watoto, hapo tatizo ni mama. Wamama wengi huwa na roho mbaya sana kwa wadafa wa ndani.
Ni kweli kabisa! Nashukuru Mungu kwangu nilishayadhibiti haya na madam akanielewa ninavyotaka akaenda humo humo! Tunachokula ndicho atakachokula! Tena madam akaenda mbali zaidi akinunulia watoto nguo na binti wa kazi atapata sawa na watoto! Bora hii picha isiwe na ukweli!
 
Hao wadada mtu mwenye roho chafu kama hiyo ndio wana kaa na kudumu miaka kwa miaka ila ishi nae wewe ki ubinadamu na utu vituko kila leo.
Yaani kama ulikiwepo, mshahara wake kwa muda, nguo namnunulia na wanangu, chakula anakula anavyopenda. Siku moja akaleta bwana ndani. Akajificha mabandani baada ya mwenyewe kuingia. Jamaa akasepa kipakapaka, unajua paka akikimbia kiwiziwizi,
 
TAFSIRI HALISI YA HAKI NA YA WAZI INAYOBEBA MAANA YA USHETANI.SASA YAMEANIKWA.
 
Kitu ambacho sijawahi kuelewa, hivi kwa nini sehemu ambayo wafanyakazi wapo mistreated kiasi hicho, huwa hawaondoki na wanadumu miaka. Ila sehemu wanazochukuliwa kama sehemu ya familia, huwa hawakai muda mrefu
 
Chakula chenyewe mavi tu...........ukute hapo ni vi chips dume na mitomato ya dumu unakosa swawabu kwa ujinga na ulimbukeni wa kuku kibudu ..........ama kweli nimekutolea povu ila nisamehe mpumbavu
 
Tatizo ukiishi nao unakuwa na roho ya kibinadam, maranyingi hata wanaume kugonga beki 3 anapiga kiistaarabu. Na wanakaa muda mrefu.

Naombeni sababu kwanini baba mwenye nyumba akiwa anamshughulikoa beki3 anadumu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…