Kbd
JF-Expert Member
- Oct 9, 2009
- 1,260
- 447
Mungu atakusaidia utapata hitaji lako.
Amen.............mama mchungaji.
Mungu atakusaidia utapata hitaji lako.
hahahaaaaaa watu hamkosiriaz tehe teheushaambiwa usimpe pole. Kama mtihani ushafeli.
Duh ndugu yangu nashukuru Mungu umekubalina na hali halisi,nakuomba sana jitahidi kutoa elimu kwa walioathirika wajiepushe kuwaambukiza wasioathirika.
Nina rafiki jirani ambae alifiwa na mke wake miaka minne iliyopita kila mtu alijua mama kaondoka na huu ugonjwa wa kisasa mwaka huu jamaa katoka kwa Iringa na mke mpya kipusa cha nguvu tayari ameshakibebesha mimba kila nikikutana na huyo mwanamke roho yangu inalia utadhani tayari kesha kufa.
Kupima mchezo? Yataka ujasiri wa mfalme suleiman.Bishanga wewe umepima??maana wewe Baba Koku lol.
Pole sana mkuu..............
mimi sikushauri kabisa kutafuta patna hasa wa ngono!
madaktari wanakataza kabisa sex wakati ukiwa na virusi kwa sababu utazidi kwambukiza mwenzio, hata kama nae ana virusi kama wewe!
kumbuka, HIV imegawanyika kwenye makundi mawili, H1 and H2 ambapo, H1 ina virusi zaidi ya 12.
hivyo basi, endapo utamgegeda mwenzio kwa kujipa moyo kuwa wote mmeathirika, itakuwa ni kuendelea kujiua na kujimalizia nguvu katika mwili..
pia, endapo mtagegedana, mtakuwa mnazidi kuambukizana virusi tofauti tofauti ambavyo vitaongeza kasi ya mashambulizi ya CD4 katika miili yenu!
BWANA akutie nguvu mpendwa!