excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,861
mkuu, hapo wanakuwa wangegedana kwa kutumia mipira ama vipi?Huwa wanapewa ushauri how to gegedana bila kupeana maambukizo mapya kubwa na la msingi ni kumanage kuandaana vya kutosha especially kwa upande wa mwanamke....................i know couple imelast for about mwaka wa tano sasa healthly and happier til this moment