Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 40,017
- 51,146
Wananchi wa kawaida wana lalamika sana kuwa gharama za maisha zipo juu sana, na wanawasiwasi kuwa huu mzozo ukiendelea hali itazidi kuwa mbaya zaidi.
Matumizi ya bandari ya mombasa kwao wanaona kama vile hukumu ya kifo, wanasema huko ni mbali sana , hatima ya maisha ya kueleweka yanategemea mahusiano mema na majirani zake hususan Tanzania.
Wanaogopa kuyaweka haya hadharani maana huko baba mwenye nyumba ni mkali sana.
Matumizi ya bandari ya mombasa kwao wanaona kama vile hukumu ya kifo, wanasema huko ni mbali sana , hatima ya maisha ya kueleweka yanategemea mahusiano mema na majirani zake hususan Tanzania.
Wanaogopa kuyaweka haya hadharani maana huko baba mwenye nyumba ni mkali sana.