Maisha yanachanganya sana

Ni kweli kaka ahsante pia kwa ushauri mzuri
 
Una ndugu nae vipi ?

Hii si kawaida
 
Sasa kama ni jobless unaweza vipi kulipa bills zote hizo
 
Unaweza kukuta hela za masharti hizo unamlaumu bure bro. We achana naye kama zipo mishe usione noma.
 
Njoo urafiki unakunjia post au nichek kesho tuende wote ukapate kazi kiwanda cha mifuko wanalipa vzr ila mlipo ni wiki kwa wiki nichek inbox nikusaidie
 
Unauhakika ni ndgu yake wa tumbo moja? au ww hujui unaweza kusaidiwa na mtu ambaye hata sio ndg yako kwa urahisi zaidi kuliko wa tumbo moja?
 
Ni kaka yangu tumbo moja namaanisha ni baba na mama mmoja na ana gari tatu za school bus na noah moja ya kutembelea na hizo school bus zote kaajili watu lakini mimi ndugu yake nipo mtaani naangaika
Utakuwa na tatizo sehemu jiangalie
 
Njoo urafiki unakunjia post au nichek kesho tuende wote ukapate kazi kiwanda cha mifuko wanalipa vzr ila mlipo ni wiki kwa wiki nichek inbox nikusaidie
Boss kwa sisi wageni wa jiji hicho kiwanda kipo maeneo gani
 
Tafuta mkaa na jiko Kisha tafuta mahala palipochangamka ,choma kuku Kwa moto wa makaa,mwambie huyo bro akupe mtaji,fanya hii kitu nyakati za usiku

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Maisha ya Dar ukipata sehem ya kula na kulala wew tayar umetoboa.
Rafik yangu wa mtaani Zombie alinipeleka kiwanda cha kutengeneza kanga, vitenge na Mashuka cha NIDA njia panda ya kwenda Tabata. Hakika alinifunza mengi sana.
Haki
 
Ushauri wangu rudi kijinini kwenu Tafuta panga jipya jembe jipya na uwe na mkebe wako wa chakula na maji pitia mashambani omba vibarua au kama kwenu mnaeneo anza kilimo cha mchicha na ujenge mahusiano mazuri na wamama wa sokoni
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…