Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,590
- 6,956
Mwambie huyo ndugu yako akuwezeshe ufanye kibiashara hata kuuza sabuni au alkususu, na sio kushangaa shangaa tu.
Sawa kaka nitajitahidiMwambie huyo ndugu yako akuwezeshe ufanye kibiashara hata kuuza sabuni au alkususu, na sio kushangaa shangaa tu.
Sawa kaka nitajitahidi
Ni kweli lakini ujue kuna watu huwa wanapenda kila mtu apitie magumu waliyopitia wao yani huwa awapendI wenzao wapate mtermkoAkuhurumie, akumbuke alipotoka
Ni kweli lakini ujue kuna watu huwa wanapenda kila mtu apitie magumu waliyopitia wao yani huwa awapendI wenzao wapate mtermko
Ahsante mkuu nitajitahidi kupambanaDah? Umenikumbusha miaka takriban 13 naanza maisha Dar, kweli maisha yanahitaji uchangamke haswaa.
Kila la kheri mkuu
Hahahaaaaaaaahaaaaa... Nliwahi kufanya kazi kwenye kiwanda cha maji halafu nikawekwa store yaan hapa unaanzia kupakia maji kwenye maboksi na kuyapeleka store nlikimbia mwenyewe aiseeNakazia hapa naufahamu mziki wake hahahaha kibeba viroba kutoka kwenye mkanda wa mashine s mchezo bado matusi ya wakongwe pale



Oi! sasa kwanini huyo brother yako asikupe mtaji wa kuanzia maisha na akusimamie wewe mdogo yake kila kitu mpaka utakaposimama mwenyewe?
Kuliko akuache uhangaike upoteze muda mwingi bila mpango maalum wala kujua unapokwenda?
Kama angekuwa mdogo wangu mimi basi ningefanya hivyo na nawashangaa wewe na kaka yako na wote wanaotoa comments humu mindsets, akili, utu na ubinadamu wenu ukoje. mimi naona ajabu.
Seriously siwezi kumuacha ndugu yangu wa karibu apitie magumu wakati mimi nipo na ninajiweza vizuri na uwezo na uhakika wa kukusaidia ninao. no wonder familia za kiafrika ni ngumu kukuta ukoo mzima ni tajiri na umefanikiwa sababu hatuwezi wala hatujui kusaidiana na kunyanyuana.
Nipo kijitonyama mkuuUko dar maeneo gani
Akili za wabongo ziko demented , yaani eti anamshauri mtu akabebe viloba Kwa bakhresa wakati Kaka take huyo mtu anauwezo Tu WA kumpa kianzio cha hata biashara ndogo Huyu ndugu hapa , Huu ujinga Huu ndio maana wananchi hii nchi wanaishi kama manamba (kutumikishwa zaidi ya punda tena Kwa ujira mdogo Sana ) , aliyewahi kufanya kazi kwenye viwanda vya makanjibai na wachina ataelewa ninaloongea hapa .Oi! sasa kwanini huyo brother yako asikupe mtaji wa kuanzia maisha na akusimamie wewe mdogo yake kila kitu mpaka utakaposimama mwenyewe?
Kuliko akuache uhangaike upoteze muda mwingi bila mpango maalum wala kujua unapokwenda?
Kama angekuwa mdogo wangu mimi basi ningefanya hivyo na nawashangaa wewe na kaka yako na wote wanaotoa comments humu mindsets, akili, utu na ubinadamu wenu ukoje. mimi naona ajabu.
Seriously siwezi kumuacha ndugu yangu wa karibu apitie magumu wakati mimi nipo na ninajiweza vizuri na uwezo na uhakika wa kukusaidia ninao. no wonder familia za kiafrika ni ngumu kukuta ukoo mzima ni tajiri na umefanikiwa sababu hatuwezi wala hatujui kusaidiana na kunyanyuana.
Ahsante kwa ushauri wako kaka ila kuna baadhi vitu sijavielewa hapoUkibahatika kupata chochote cha kufanya kumbuka kumnunulia hata zawadi na usave ili utoke hapo haraka. Ndigu yako amekupa makavu mapema bila kukuigizia.
Na huo ndio utaratibu wetu siku hizi haya maisha ya mjini. Ukija kwa ndugu kutafuta maisha nakupanga mapema, kama kukusaidia nitakusaidia ukapate sehemu ya kazi. Chakula na sehemu ya kulala lazima nikusapoti.
Ila ujitahidi upate pahala pa kuishi na uanze maisha yako haraka sana.
Ndio ndugu yake ataki sasa kumsaidia...angemsaidia asingeomba ushauri humuAkili za wabongo ziko demented , yaani eti anamshauri mtu akabebe viloba Kwa bakhresa wakati Kaka take huyo mtu anauwezo Tu WA kumpa kianzio cha hata biashara ndogo Huyu ndugu hapa , Huu ujinga Huu ndio maana wananchi hii nchi wanaishi kama manamba (kutumikishwa zaidi ya punda tena Kwa ujira mdogo Sana ) , aliyewahi kufanya kazi kwenye viwanda vya makanjibai na wachina ataelewa ninaloongea hapa .
Tuache akili za kimasikini waTanzania
Hii Tabia ya ubinafsi WA kishamba ni mbaya Sana Kwa maendeleo ya hii jamii , hapo utakuta Hilo lijamaa lina kama milioni 100 benki na vitega uchumi kadhaa Ila hata kumsaidia kianzio cha biashara ndogo Tu huyo ndugu yake linaona shida , ila liko radhi kunywa bia kila siku , kuvuta bange na kuhonga Malaya Kwa kulipia mamilioni ,Umeongea point mkuu. Roho zinatofautiana, wewe upo tayari kumsaidia ndugu yako, lakini wengine icho kitu hakipo. Hawajui hapa duniani tunapita na kuviacha.