Maisha yamepanda bei

Maisha yamepanda bei

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2014
Posts
3,652
Reaction score
5,133
Kiukweli nawashauri muanze kubana matumizi kabla ya kubanwa nyie.

Maisha yamekuwa magumu sana kuna jamaa angu mmoja yeye anauza mayai ambapo kwa siku alikuwa anauza trei kama 30 laikini sasa mauzo yameshuka mpaka 10.

Pia sasa hivi mimi mauzo yangu hata ya dukani kwangu yamepungua kwa kiasi kikubwa kwani ndo inanifanya nipate tonge la siku kiukweli maisha yamekuwa magumu.

Tunamuomba Rais Magufuli kama hizo pesa zipo aziache kwa mzunguko lakini sijui kama zipo au laa.
 
Komaa mkuu maisha yakipanda bei na wewe unapanda mara dufu... you understand me?
 
Na bado mwaka hu tutaomba kazi km unaomba upewe pumzi upomue maana walionacho ndo naona wanazidishiwa n maskini ndio tuna umia
 
Back
Top Bottom