Maisha yamenishinda!!

Uliamua kuoa mwenyewe au ulifuata maneno ya watu ya mbona mpk Leo hujaona!! Ukaamua kuoa golikipa kufurahisha watu!! Jamani jiandaeni kabla ya kuingia kifungoni coz at the end of the day ni msalaba wako sio wa hao waliokushauri . anyway yashatokea we mtafutie bby kazi msaidiane
 

Usije mjini nakwambia usije mjini nasema tena usije ni bora ukacheza na ngedere kuliko kucheza na wenye nyumba mjini.
 
chukua mkopo then mfungulie wife biashara asimamie...
 
Duh! Mshahara wa 542,000/= mtu unashindwa kuishi mjini....!!!wakati watu tunalipwa laki na nusu 150,000 kwa muhindi na maisha yanasonga...wewe lazima utakuwa una matumizi mabovu kupindukia....

Mimi nikipata mshahara kama wako baada ya mwaka mmoja tu namiliki kibanda pembezoni mwa jiji la dar es salaam....
 
duuh, halafu kumbe huu uzi ni wa 2011 mtu alikua anachukua zaidi ya nusu milioni alikua analalamika??? nilifikiri hata ni mwaka huu
 
Kama maisha yamekushindwa achana nayo jaribu kitu chengine
 
I believe that if life give you lemons you should make lemonade....... And trie to find somebody whose life has given them vodka and have a party!!
 
Usirudishe mpira kwa kipa.

Komaa baba ake.

Maisha kukomaa
 
ukiona maisha ya mjini yanakuwa magumu basi achana nayo fanya ishu zingine
 
Du kwel akil na mipango atufanan lak tano na upuuz ndogo aya kalime alaf uwne balaa lake
 
We rudi tu kijijini...sisi hata tushindie mihogo...hata yaje mafuriko haturudi kijijini ng'o
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…