Huyu jamaa amenishangaza sana, yani mshahara was 524,000Tsh/ bado analalama plus 300,000 ya wife kwa mwez uhakika was 824,000/Tsh. Hapa hesabu inahitajika kwanza matumizi ya home per day yapunguze kutoka 8000 mpaka 5000-6000
Pili nauli pamoja na msosi wa mchana mkiwa kazin wewe na mke wako punguza kutoka 10000 mpaka 6000 kwa mahesabu ya haraka kwa mwez uta save 210,000 kwa mwaka 2.5M pia jaribu kupunguza matumiz mengne na kugundua maeneo/masoko ya kununulia vitu bei nafuu hasa vyakula. Mwisho usiwe mvivu wa kufikiri