SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,923
Nenda msumbuji Beira mzunguko nao Mkubwa tu saizi kuna bandari yao iko bize sana matruck kibao yanapeleka na kuchukua cargo toka Congo,Malawi,Zambia nk ila usije na mtaji wote njoo na kidogo ili ujifunze biashara au nn cha kufanya,Zambia na Malawi pia safi hasa kama wwe ni fund hawana mafundi wazuri Kwa fani mbalimbali utegemea toka tza
Mkowa inaopakana n'a zambia na msumbiji ni belaUpande wa kaskazini mwa msumbiji , ukuna Zambia , Malawi na Tanzania .
Mbona iko wazi kabisa kwenye ramani
Nimefika Mbala na Mpulungu karibuni,kuna network nzuri ya biashara na majirani zake. Miji iko karibu na Tz, Drc,Habari zenu wana JF?
Naam wana JF naitaji kufahamu Mengi kutoka kwenu kuhusu maisha ya zambia jinsi yalivyo.
Naitaji kwenda kuwekeza kwenye biashara, vp hali ya uchumi ikoje huko pamoja na harakati za maisha kwa ujumla. Karibuni sana wana JF katika kutoa hoja zenu.
Mkuu mbona unatutisha?Weee Zambia sio sehemu nzuri kwa mbongo kwenda (Especially kama huna ndugu kule na hujui hata abcd za kiwemba na kinyanja and worse still huna passport). Wale jamaa sio wavumilivu kama wabongo tunavyoishi peacefully na watu wa kila aina duniani. Hawana tofauti kubwa sana na interHamwE au wanyamurenGe. Watch out! (in 2 chainz's voice).
Acha kudanganya watu, karibia robo ya wafanyabiashara walioko Zambia hasa Lusaka Na Kitwe ni watanzania.....tena wanamaduka makubwa tu.Weee Zambia sio sehemu nzuri kwa mbongo kwenda (Especially kama huna ndugu kule na hujui hata abcd za kiwemba na kinyanja and worse still huna passport). Wale jamaa sio wavumilivu kama wabongo tunavyoishi peacefully na watu wa kila aina duniani. Hawana tofauti kubwa sana na interHamwE au wanyamurenGe. Watch out! (in 2 chainz's voice).
Well, mi naongea kutokana na experience.Acha kudanganya watu, karibia robo ya wafanyabiashara walioko Zambia hasa Lusaka Na Kitwe ni watanzania.....tena wanamaduka makubwa tu.
Sema Zambia Maisha ni gharama hasa Kwa sisi watanzania tuliozoea Maisha mteremko.
Lakini ukishafanikiwa kujenga mtandao ni sehemu Moja POA sana Kwa kutafutia Maisha.
Nina demu wangu huko,nitakupa namba yake akawe mwenyeji wako!!!Naitaji kwenda Zambia mwezi wa kwanza naitaji mnipe data za huko
Njoo pm mkuuNina demu wangu huko,nitakupa namba yake akawe mwenyeji wako!!!
Dah mkuu una upendo zaidi ya mshumaaNina demu wangu huko,nitakupa namba yake akawe mwenyeji wako!!!
[emoji3][emoji3][emoji3] ningempa tatizo la wabongo akifika kule anapindua inchi...Dah mkuu una upendo zaidi ya mshumaa
Hawa watu wanakuwa kama wana relate back days nilikwenda ubaroz wa msumbishi kukata emergency pass, nchi ambazo niliruhusiwa kuingia ni pamoja na Zambia na South Africa.Sorry ndg kuna baadhi wanaongea Kireno bila shaka watakuwa na asili ya Msumbiji. Wazambia na watu wa Msumbiji South Africa ni wengi sana na ukiangalia kwa karibu wanasikilizana sana
Utaendaje nchi ya watu bila ya Passport ???Weee Zambia sio sehemu nzuri kwa mbongo kwenda (Especially kama huna ndugu kule na hujui hata abcd za kiwemba na kinyanja and worse still huna passport). Wale jamaa sio wavumilivu kama wabongo tunavyoishi peacefully na watu wa kila aina duniani. Hawana tofauti kubwa sana na interHamwE au wanyamurenGe. Watch out! (in 2 chainz's voice).
Hiyo hela ya kwenda na arudi tena, na aende tena inatoka wapi mkuu?Tatizo Watz wezangu waoga sana kutembea na kujifunza kwanza kabla ya ku plan nini cha kufanya. Anatakiwa atenge kiasi kidogo cha pesa akatembee hata siku mbili au tatu. Umemshauri vizuri
Penye nia pana njiaHiyo hela ya kwenda na arudi tena, na aende tena inatoka wapi mkuu?
Siku moja nilikuwa kwenye daladala(kipanya)natoka maeneo ya state area nakwenda mjini,nashangaa gari zima anayejua uingereza ni mmoja mdada fulani hivi,yani konda hajui kingereza na abiria wengine pia hawajui,na nilikuwa naulizia kituo fulani hivi cha kushukia kabla ya kufika town Kati,by the way ni jiji zuri sana kwasababu halina fujo kama Dar.Kiingereza japo walioko karibu na Msumbiji wanatupia na Kireno. Pia Zambia wana lugha zao za kikabila but da most spoken language is english
Una uhakika mkuu?au Zambia gani waongelea wewe?labda vijijini,ebu shuka tu pale jijini Lusaka chukua chai na mkate,angalia chai ilivyo nzuri na mkate, imagine huyo ni mama ntulie wa kawaida Tu,vipi migahawa?Mkuu, ukitaka biashara nzuri fanya biashara ya kuuza chakula, fungua restaurant sababu Wazambia hawajui kupika, utapiga pesa mpaka ukimbie mwenyewe , Wazambia na Wamalawi kupika ni zero kabisa,