Maisha ya Uswahilini

hata ukiwa mwanajeshi una kavii kamoja bado unanyenyekewa
 

Mmh! hivi maisha haya unayashi au wewe ni mwana sociolojia, au mtafiti!, maana kati ya vitu unavyonifurahisha ni hizi story zako za maisha halisi ya mitaani.
 
Ukiwa na girl friend wa Uswahilini ukimpa pesa aji weke sawa inaweza kuwa ni pesa inayotegemewa na familia. Aende kusuka Brazillian hair wakati dada amejifungua na hakuna supu ya mzazi!
 
Kuishi uswazi inatakiwa uwe na moyo mkubwa sana maana yanayonitokea toka nihamie huku daaah..................
 
Alafu nasikia sisi wauswahili ndio tunajua kuvitendea haki vitanda vyetu tuwapo 6×6, kupita dirishani nakusikia kwichkwichi nikawaida sana
 
Mbona mbali huko we muhakikishie chips kavu daily usiku utapewa uchi mpaka ukimbie wew
Uswazi mademu ni rahisi sn kuwapata, ukiwa na kahela kakula tu utang'oa sn madem na mama zao
 
Uswazi wadada wanazaa bila mpango hawaoni hasara kila mtoto na baba yake ukiuliza unaambiwa kila mtoto anakuja na nyota yake
Utaambiwa riziki mafungu 7, kila mtoto na bahati yake. Its absolutely ridiculous!
 
Nahamaje sasa
 
Hata hapo Rombo kimara niliwahi shughudia kipindi fulani,kuna familia wao walikuwa wanatoa Pesa tu misibani na kusepa,akafa mtoto wao,wanamtaa wakachanga hela na kumtuma mwenyekiti wa mtaa na wazee wawili kupeleka pale,ndugu zao wakashangaa,wakaomba msamaha ila wanajamii tulienda kuzika tu then hakuna mtu aliyebaki pale wa turubai.

Ile familia tangu pale wanaenda misibani hadi kibamba,tabata,bunju etc
 
Kuna watu uswahilini wataka kufahamu kwa wiki unakula mara ngapi kama ni mayai unakaanga mara ngapi, samaki, ndizi na pilau hivyo kuweza kukadiria kipato chako.

Pia uswahilini kuna kutegeana kukinga maji kwenye karo hivyo wa kwanza anakuwa na ndoo hata nne au tano.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…