Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 17,796
- 32,146
Habari za mchana,
Maisha ya uswahili sio poa poa kama hujayazoea unaweza pata shida sana.
Kuna kipindi nilienda kwa Azizi Ally kumsalimia mtu huko sasa kufika pale tunapiga story gafla kaingia mtu hila hodi anatoa taarifa nachukua mboga kule nini ugali kidogo nilishangaa ase akaona pembeni kuna matunda akabeba.
Ikabidi nimuulize mwenyeji wangu hivi huku ndio maisha gani haya mnaishi mtu anaingia kama kwake anachukua vitu kiholela holela why akawa anacheka.
Siulizi kwa ubaya hila nataka kujua hizo tabia za kienyeji zinatokaga wapi?
Maisha ya uswahili sio poa poa kama hujayazoea unaweza pata shida sana.
Kuna kipindi nilienda kwa Azizi Ally kumsalimia mtu huko sasa kufika pale tunapiga story gafla kaingia mtu hila hodi anatoa taarifa nachukua mboga kule nini ugali kidogo nilishangaa ase akaona pembeni kuna matunda akabeba.
Ikabidi nimuulize mwenyeji wangu hivi huku ndio maisha gani haya mnaishi mtu anaingia kama kwake anachukua vitu kiholela holela why akawa anacheka.
Siulizi kwa ubaya hila nataka kujua hizo tabia za kienyeji zinatokaga wapi?