na ukisha balehe ukashindwa kuwa tofauti na kabla kwenye suala la usafi bas wewe utakuwa mchafu milele. hata kama ulikuwa msafi baada ya balehe usafi huongezekaKuna tofauti kati ya kuwa MCHAFU na kuwa bachelor. Mambo yote uliyoyasema hapo juu ni dalili ya mtu mchafu sana na asiyejielewa na kama hayo ndio maisha yako my brother sio sifa nzuri hata kidogo.
Pamoja sana rafiqShukrani mkuu,ushakuwa rafiki angu
hahaaaaaa me nilikuwa natandika kitanda jpil tu
Hawa ndio wakioa mke anakonda ndani ya mwezi tuUchafu,uvivu wa mtu anasingizia u-bachelor!
hahaaa duuhh hapo nimwendo wakuzifuta tu..wakati unapotaka kuzivaaKweli dogo mtata huyu namfuatilia toka 2013..
Hafu sinaga nguo za vitambaa ni jinzi tu yaani hua na2aza sana nikitaka kufua
Aisee tuwashauri hawa jamaa hayo sio maisha kabisaNakuunga mkono kamanda
hahaaa duuhh hapo nimwendo wakuzifuta tu..wakati unapotaka kuzivaa
1more wind on ur SOFA
Hakika.Kuna tofauti kati ya kuwa MCHAFU na kuwa bachelor. Mambo yote uliyoyasema hapo juu ni dalili ya mtu mchafu sana na asiyejielewa na kama hayo ndio maisha yako my brother sio sifa nzuri hata kidogo.
Ni kwel ila kwa upande wang npo tofauti kdg mkuu..*Fahamu maisha ya ubachela*
Maisha ya ubachelor unaweza kujishaua kufululiza kupika msosi hata mwezi mzima ila vyombo visafi vikiisha ndani unarudi kwenye utaratibu ule ule wa kula chipsi na paja la bukujero.Maisha ya ubachela kila siku tunapoteza vijiko kidogo kidogo kwa kumwaga maji ya ukoko wa ugali.
Maisha ya ubachela unaweza kuloweka sufuria ulopikia ugali likakaa na maji wiki nzima yakianza kunuka unamwaga halafu unaweka tena maji mengine.
Maisha ya ubachela mara nyingine neti hugeuka kuwa hema.Ikichomekwa haichomolewi mpaka siku utakapopata mgeni.
Maisha ya ubachela hufika kipindi mtu unageuka mbwa, unanusa kwanza nguo ili ujue kama unaweza kuipa round ya pili au hapana.
Kweli kabisa ni tabia ya mtu, binafsi sio kila bachelor ni nchafu kwakeAisee tuwashauri hawa jamaa hayo sio maisha kabisa
Ukiwa serious maisha ya ubachela yana raha yake na ni kama adventure fulani hivi. si ajabu ukaanza kupika maharage saa saba usiku. sometime kachumbali huwa mboga kuu. Bila kusahau wakati wowote ni wakati wa chai. Kifupi wengi hutokea kuwa wapishi wazuri ingawa ishue ya kuosha vyombo hasa sururia ni ngoma.
Kweli kabisa, tatizo ni kuwa tulivokuwa kwenye mikono ya wazazi/ walezi tulifanya kazi chini ya usimamizi na usipofanya utaadhibiwa. kwa mfano utalazimika kufua nguo zako otherwise utachapwa sasa tukianza kujitegemea na hakuna mtu wa kutusimamia tena ndo mambo kama ayo sufuria ya ugali inalowekwa wiki nzima.na ukisha balehe ukashindwa kuwa tofauti na kabla kwenye suala la usafi bas wewe utakuwa mchafu milele. hata kama ulikuwa msafi baada ya balehe usafi huongezeka
Kweli kabisa 100%. Kwangu mimi jambo ambalo sijafaulu hadi sasa ni kupika ugaliUkiwa serious maisha ya ubachela yana raha yake na ni kama adventure fulani hivi. si ajabu ukaanza kupika maharage saa saba usiku. sometime kachumbali huwa mboga kuu. Bila kusahau wakati wowote ni wakati wa chai. Kifupi wengi hutokea kuwa wapishi wazuri ingawa ishue ya kuosha vyombo hasa sururia ni ngoma.
Kupika sio issue, ila kuosha vyombo sio mchezo.