Maisha ya South sio mchezo, narudi nyumbani

Maisha ya South sio mchezo, narudi nyumbani

Dah kweli binadamu wote si sawa. Yani unapolalamika maisha magumu sauz na unarud kwenye ugumu zaidi nacheka sana hadi hapa legal team na jopo la mafinancial advicers wangu wananishanga.

Asubuhi nilikuwa Swissbank later on the day nilikuwa Swiss credit. Kesho napaa na gulf stream private jet deutsch benk on Monday kwa malkia HSBC.

Sitaki kuweka wazi idadi ya hela nilizoweka kwenye hizo benki msije mkashikwa na cardiac arrest humu jamvini
Aiseeh chalii yangu Semenya.

Naomba kazi.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna watu wana mbwembwe hahaah
Dah kweli binadamu wote si sawa. Yani unapolalamika maisha magumu sauz na unarud kwenye ugumu zaidi nacheka sana hadi hapa legal team na jopo la mafinancial advicers wangu wananishanga.

Asubuhi nilikuwa Swissbank later on the day nilikuwa Swiss credit. Kesho napaa na gulf stream private jet deutsch benk on Monday kwa malkia HSBC.

Sitaki kuweka wazi idadi ya hela nilizoweka kwenye hizo benki msije mkashikwa na cardiac arrest humu jamvini
 
mwaka 2016 kuna jamaa yangu mmoja ambaye nimecheza nae katika makuzi yangu ya utotoni, aliuwawa kinyama sana huko south africa. mbaya zaidi wauaji walimua mpaka mke wake na mtoto mchanga.

hiyo nchi ni kama jehanamu inapofika matukio ya kiharifu.

rest in peace rafiki yangu saidi mtoto wa tandika magorofani.
Ukiona hivyo alidhulumu mali za watu.
Biashara haramu unafanya uharamu wadai hawashtaki wanadeal na wewe
 
Kama maisha ni yale yale hakuna tofauti unarudi kwann?
 
Kama mtu unashindwa kupambana kwenye nchi ambayo ndio most industrialized and economic powerhouses in Africa basi wewe huna sifa ya upambanaji.

Na ni bora urudi tu huku kwenu umsaidie mama yako kuosha vyombo na kuchambua dagaa!
 
Sisi tunakomaa uku wasalimie wote uko bongo maisha ni uvumilivu ilakama bado hujaondoka karibu Capetown wanaume tunaganga huku acha kujitenga wewe
 
Du pole sana mkuu
mwaka 2016 kuna jamaa yangu mmoja ambaye nimecheza nae katika makuzi yangu ya utotoni, aliuwawa kinyama sana huko south africa. mbaya zaidi wauaji walimua mpaka mke wake na mtoto mchanga.

hiyo nchi ni kama jehanamu inapofika matukio ya kiharifu.

rest in peace rafiki yangu saidi mtoto wa tandika magorofani.
 
Powa mkuu kwa mawazo yako ila nakuja kwa ajili ya kza coz kuna mwanangu kanipa mchongo wa pesa
Jitahidi passport yako wasiiblock
Coz najua ukiingia tu kwa mzee magu lazma uimiss dzonga
Winter time inaenda kwisha inaingia summer, sasa hiyo summer time ya kibongo tu stress joto mpaka kwenye roho ajira huku ni kubet
Vijana wanaitafuta jero ya mkeka kwa tochi
Angalau kama una ka elfu40 rand nyana unaweza ukajaribu lakini kama una kaelfu10 au nauli tu sikushauri bongo
Kaburu kubwa hiyo hama mji tu badili biashara
 
Back
Top Bottom