monopoly inc
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 5,245
- 11,428
Uje na Jamaa anaitwa shibekijijini
Hamjui au wana undugu?Humjui @ Kiduku Lilo
Uko south ya wapi ya mtwara?Ndugu maisha ya south sio powa naamua kurud home kuendeleza maisha kama kawaida maisha ndo yale yale akuna tofaut
Sawa mkuu nakuja kulima ayo ayo nitakula na kuishi freshiWewe kama maisha yamekushinda huko bondeni njoo ulime matembele
Asante mkuu narejeaKaribu nyumbani kumenoga ndugu
Sawa mkaze but kweli kwenye nchi ya watu wasiowapendaWrite your reply...nenda salama mkuu sisi bado tupo uku
Sawa mkuu sijachalazia mabaharia ata cku nakuja niliandika na nilipo fika niliandika now naondoka acha pia niandikeUnacharazia mabaharia home boy... we kama yamekushinda rudisha mpira kwa kipa kimya kimya.. kibaharia una kesi ya kujibu. We nenda sie tupo sana labda kaburu afinye arudishe bongo. Na hata tukirudishwa tunadunda kama kitenesi kwani bongo yenyewe si nyuma ya mbeya tu apo.
Nmejifunza tu kuwa wakosa awataki watu katika nchi yao tunalazimisha tu pia nimetoa tongo tongo ya macho kutembea kuijua dunia piaField yako ni ipi? Samahani lakini
Mzee hata haujamaliza hata kamwaka umeshakata tamaa.
Hakuna Dunia hii unapofika na kuchota mali... utasemaje ukishafika rudi nyumbani!!
Ata simjui uyo jamaaUje na Jamaa anaitwa shibekijijini
Jon Stephano vipi Kiduku Lilo ana udugu na wewe?😉😁Dah kweli binadamu wote si sawa. Yani unapolalamika maisha magumu sauz na unarud kwenye ugumu zaidi nacheka sana hadi hapa legal team na jopo la mafinancial advicers wangu wananishanga.
Asubuhi nilikuwa Swissbank later on the day nilikuwa Swiss credit. Kesho napaa na gulf stream private jet deutsch benk on Monday kwa malkia HSBC.
Sitaki kuweka wazi idadi ya hela nilizoweka kwenye hizo benki msije mkashikwa na cardiac arrest humu jamvini
Binamu yake kiduku lilo katika ubora wakoDah kweli binadamu wote si sawa. Yani unapolalamika maisha magumu sauz na unarud kwenye ugumu zaidi nacheka sana hadi hapa legal team na jopo la mafinancial advicers wangu wananishanga.
Asubuhi nilikuwa Swissbank later on the day nilikuwa Swiss credit. Kesho napaa na gulf stream private jet deutsch benk on Monday kwa malkia HSBC.
Sitaki kuweka wazi idadi ya hela nilizoweka kwenye hizo benki msije mkashikwa na cardiac arrest humu jamvini
mwaka 2016 kuna jamaa yangu mmoja ambaye nimecheza nae katika makuzi yangu ya utotoni, aliuwawa kinyama sana huko south africa. mbaya zaidi wauaji walimua mpaka mke wake na mtoto mchanga.Ndugu maisha ya south sio powa naamua kurud home kuendeleza maisha kama kawaida maisha ndo yale yale akuna tofaut
Sawa mkuu nakuja kulima ayo ayo nitakula na kuishi freshi
Karibu tena mbagala zakiemNdugu maisha ya south sio powa naamua kurud home kuendeleza maisha kama kawaida maisha ndo yale yale akuna tofaut