kelvinlewis
JF-Expert Member
- Jan 8, 2018
- 308
- 207
- Thread starter
- #61
Thnks friend
Welcome back, home is always the best place to be....
Welcome back, home is always the best place to be....
Ukiona hivyo alidhulumu mali za watu.
Biashara haramu unafanya uharamu wadai hawashtaki wanadeal na wewe
Kama maisha ni yale yale hakuna tofauti unarudi kwann?
Kama mtu unashindwa kupambana kwenye nchi ambayo ndio most industrialized and economic powerhouses in Africa basi wewe huna sifa ya upambanaji.
Na ni bora urudi tu huku kwenu umsaidie mama yako kuosha vyombo na kuchambua dagaa!
Nipo captown wewe upo sehemu ganiSisi tunakomaa uku wasalimie wote uko bongo maisha ni uvumilivu ilakama bado hujaondoka karibu Capetown wanaume tunaganga huku acha kujitenga wewe
Nyumbani kumenogaCji kutafut nn
Asanye sana mkuu kwa mawazo yakoUlizani huku kwa bi mdash nini baharia apa ni kwa mkaburu kama huwezi kuzingatia basi nenda beach kadandie chuma uende maulaya bunda moja baharia
Cha pili punguza kujichanganya maskani za masela fanya yako baba au na kaburu unaona noma kufungua ndau mzesßß
Asante sana mkuu
Asante sana mkuu pamojaPoleee
Asante sana mkuu pamoja
Umekosea timing, hayo mambo yalikuwa enzi hizo.Ndugu maisha ya south sio powa naamua kurud home kuendeleza maisha kama kawaida maisha ndo yale yale akuna tofaut
Ha ha ha trueKama mtu unashindwa kupambana kwenye nchi ambayo ndio most industrialized and economic powerhouses in Africa basi wewe huna sifa ya upambanaji.
Na ni bora urudi tu huku kwenu umsaidie mama yako kuosha vyombo na kuchambua dagaa!
Nifanye nn ili wasiiblock ndugu yanguuJitahidi passport yako wasiiblock
Coz najua ukiingia tu kwa mzee magu lazma uimiss dzonga
Winter time inaenda kwisha inaingia summer, sasa hiyo summer time ya kibongo tu stress joto mpaka kwenye roho ajira huku ni kubet
Vijana wanaitafuta jero ya mkeka kwa tochi
Angalau kama una ka elfu40 rand nyana unaweza ukajaribu lakini kama una kaelfu10 au nauli tu sikushauri bongo
Kaburu kubwa hiyo hama mji tu badili biashara
Kama umeover stay angalau uwe na 1000 au 1500 rand ya kuwaachia hapo boda watakuwekea mambo sawaNifanye nn ili wasiiblock ndugu yanguu
Mkuu mambo yalikwenda powa kabsa mkuu niliwapa R400 tu wakaweka kila kitu freshKama umeover stay angalau uwe na 1000 au 1500 rand ya kuwaachia hapo boda watakuwekea mambo sawa